Ni mvivu anapenda kulala, kuangalia TV, na hata kama nina shughuli watoto wakaomba msaada kwake, atawaambia kamwambieni au msubirini mama. Nitajitahidi kumshirikisha. Asante sana Klorokwini.
I have heard you. My case is I love kids more than hubby. I want to learn how to overcome this situation.
mi naona ulishajua tatizo lako na unajua pia namna ya kulikabili. hakuna njia ya mkato utakayoweza kuipata hapa JF, bali check your psychological factors. ushauri wa kloquine wa kwanza kabisa ni mzuri sana kuzingatia. mi naongeza kuwa kupenda watoto ni vizuri sana na kuwajibika kama mama mwingi wa mapenzi nyumbani ni vyema sana tena inapendeza na unastahili pongezi na keep it up. ila naona umeyafanya maisha ya nyumbani kwako kuwa sawa na nusu family ingawa una familia kamili. siku utakapoondokewa na huyo mume wako (siombei) ndio utagundua umuhimu na uzuri wake. please my dear learn to live as a family.
kama unaweza tafuta msaidizi hapo nyumbani kwako ili nawe upate muda wa kupumzika. lakini sioni ubaya wa baba kukusaidia mfano kuandaa nguo zake (hata na zako) za kazini kama ratiba yako ya majukumu ndiyo hiyo na huna msaidizi wa kazi, ila inapokuja kuwa kila siku unajirusha kitandani mapema na kuanza kusinzia bila kutaka hata kubadilishana mawazo na mwenzako japo kidogo, mwenzio atahisi kukosa accompany yako. atakuwa mpweke na kama Mungu hataingilia kati anaweza hata kuanguka dhambini na kuleta balaa nyumbani mwako. so take care, otherwise tuambie kwa nini hisia zako ziko mbali na mtu uliyemridhia mwenyewe kuishi naye. kama baba ni uvivu (kama ulivyosema mahali fulani) ni vidosari vidogovidogo tu, vihandle with care, visije vikaitumbukiza nyumba yako katika magomvi mengi na yasyoisha na probably hata kuivunja siku moja. asiyezba ufa hujenga ukuta. wewe tayari umeuona ufa, so kazi unayo ya kuziba hizo nyufa mapema.
kumfumania nako yawezekana kulikuathi kisycolojia
Nilimfumania live akifanya mapenzi na baba watoto, chumbani kwangu, kitandani kwangu. Nilimsamehe baba watoto na nilijiwekea msimamo kuwa sitaweka msaidizi nyumbani.
Well, why housegirl ni tatizo kuliko suluhisho?, well there are things which I as a mother can't avoid doing but there are things that simply have to be done by a HG !!
Kwamfano wote tunatoka saa kumi na moja tuanze foleni from Mbezi kuelekea makazini na nina mtoto wa miezi 10 nyumbani, huyu namwachia nani kama si HG ?
Pia hawa wakubwa wakirudi toka shule saa 9 nani atawapikia kama si HG ??
The only day my HG rests is sunday and I take charge of cooking and everything
Jaribu kumshirikisha baba watoto kwenye homework, pia shuleni kuna sports day and school open activities zinazoencourage watoto na wazazi, hizo tunaenda sote na mume wangu
Kama leo jpili, HG yuko off mtoto mdogo yuko na baba na wakubwa wananisaidia upishi
What I really think, u have certain insecurities in your life,am thinking the fact that you do everything yourself is potray 'the superwoman attitude' which depict 'the perfect wife ' you have also brushed off having a housegirl as it brings more problems which answers your insecurities in trustin someone else doing what you are doing
Unless ur work is not involving..but some of us have to travel with little ones and an extra help..
I could go on and on, but you may PM me for further talks on this
Mhandisi
ukikaa naye chini ukamweleza haya uliyoandika hapa, hatakuelewa na kukubali kujishughulisha nao zaidi?
House girl tena?! I will never ever hire one kwani nina hakika hili ni tatizo zaidi kuliko suluhisho.
Je unaushauri mwingine zaidi?
Tafuta House girl ambaye ni mtu mzima kakuzidi umri awe miaka 48 au zaidi ambaye hata mvutia mumewe. Angalau aje mara tatu kwa wiki kukusaidia kazi na kuondoka asilale nyumbani kwako. Ili upate muda mahsusi na Mzee. Pia jaribu kupata ushauri kutoka kwa rafiki zake wa karibu au wakwe zako ili aongeze ushirikiano kwa watoto. Usijaribu kufanya kazi zote ambazo baba anatakiwa kuzifanya kwa watoto. Kila lakheri!
Mh...!!! Huu ushauri nitamuomba muomba ushauri asiupokee,kwa umri ulioutaja hapo nina uhakika kabisa huyo HG atakuwa msimbe,na ni nani asiyejua tabia za wasimbe?
Forgive me maybe am dumb and I dont understand.... whats wrong in loving your kids more? also is motherly love same as love for the husband? and if you like to spend more time with kids than husband just tell him them maybe you, him and the kids can spend time together.I have heard you. My case is I love kids more than hubby. I want to learn how to overcome this situation.
I have heard you. My case is I love kids more than hubby. I want to learn how to overcome this situation.
House girl tena?! I will never ever hire one kwani nina hakika hili ni tatizo zaidi kuliko suluhisho.
Je unaushauri mwingine zaidi?
Tafuta House girl ambaye ni mtu mzima kakuzidi umri awe miaka 48 au zaidi ambaye hata mvutia mumewe. Angalau aje mara tatu kwa wiki kukusaidia kazi na kuondoka asilale nyumbani kwako. Ili upate muda mahsusi na Mzee. Pia jaribu kupata ushauri kutoka kwa rafiki zake wa karibu au wakwe zako ili aongeze ushirikiano kwa watoto. Usijaribu kufanya kazi zote ambazo baba anatakiwa kuzifanya kwa watoto. Kila lakheri!