Uchaguzi 2020 Nawapongeza CHADEMA kwa maamuzi yenu, mmejitathimini na mmegundua madhaifu yenu na kujitoa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa


Hapo unaona umepiga bonge la propaganda. Kweli bado mmebaki na hizi propaganda za kizee ndani ya karne hii?
 
Sababu za kujitoa kwa Chadema sio ulizo ziainisha na hata hivyo kama wamejitoa si ni kheri kwenu CCM mle mpaka mvimbiwe ?..

Kutwa kuchwa CCM ndio mna hangaika kwa maamuzi ya Chadema Why ?.
Kama kweli Ccm wana jiamini na kwamba wame fanya mengi kwanini wana ogopa uchaguzi wa ushindani? Hadi kutumia hila za porini pamoja no kutumia vyombo vya usalama kulazimisha ushindi?? Waingie kwenye kampeni waone moto watakao washiwa. Ati Ccm imepita bila kupingwa.. Mnachekesha sana..
 
Acha Kuiombea mabaya Tanzania si siri kila mtu anafahamu kuwa Upinzania hauna hoja tena.
Wewe ndo huna hoja. Upinza kwa sasa wako so strategic kuliko wakati wowote. Long live opposition.
 
Electoral rigging wakati umejitoa mwenyewe. Yaani uombe talaka mwenyewe halafu mumeo akioa tena unaenda kuleta vurugu.
Kwa vile wana ccm wengi mnatumia matumbo yenu kufikiria, ni vigumu kuelewa janga mnalolitengeneza dhidi ya nchi yenu.
 
Inyo lyanoko!

Ndio lugha gani hiyo? Unadhani kila mtu ni peasant mwenzio? Au umeshaleweshwa vibia na mabasha hapo mabibo, saa hii unakuja kuuza face hapa jukwaani?
 
Mkuu una Elimu gani?
Maana naona kama unashindwa kuchambua mambo vizuri..
Hoja zote za kujitoa Zipo wazi..
Kwanza tuanze una jua maana ya democracy na sifa zake !
 
Acha Kuiombea mabaya Tanzania si siri kila mtu anafahamu kuwa Upinzania hauna hoja tena.
Kama wapinzani hawana hoja tena kwanini mnawaogopa kwenye sanduku la kura hadi mnaita watendaji na kuwaamrisha waharibu form za wagombea wa upinzani?
 
Wewe ndo huna hoja. Upinza kwa sasa wako so strategic kuliko wakati wowote. Long live opposition.
Nadhani walitegewa mtego walete fujo kudai haki zao ili wakamatwe wote waozee jela hadi uchaguzi mkuu upite,kwa box halali la kura atoboi nje ya kubebwa ajawahi shinda chochote
 
Haya ndio makao makuu ya chama, wakati mpunga wote wa Ruzuku wanakula wachache, na kuna Watanzania wanatetea huu ujuha! Aibu.
makao makuu ya ccm yamewahi kukusaidia nini? ada ama mlo wa siku
 
Nakumbuka hata mie mkuu tena alisema hatajihusisha na masuala ya siasa mpaka 2020, leo vipi tena mbona ninamuona na viji threads uchwara hapa jukwaani.

Au hawa ndio aliowasem Membe kuwa ni makuhani wa unafiki na uzandiki.

Ngoja nami niiutafute ule uzi.
Kuna kipindi alisema hataandika chochote kuhusiana na mada za siasa..ngoja niitafute ile thread yake hahaaaaaahaaa
 
makao makuu ya ccm yamewahi kukusaidia nini? ada ama mlo wa siku

Makao makuu hayalingani na posho wanayochukua kama Chama kikuu cha Upinzani, I mean is part of my money ambayo inakusanywa kwenye kodi ambayo mimi nimelipa whether I am CCM or Chadema, kama huelewi hilo huwezi kuelewa kitu maishani mwako. Hivi Mkaguzi wa hesabu za serikali/au mkaguzi wa vyama vya siasa hahusiki hapa kweli? Hawa ni majambazi!
 
Garbage
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…