Nawapongeza ma Doctor wapya wa JF

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Sina hakika lakini nadhani udaktari wao ni wa heshima kama wale wabunge wetu kule mjengoni.. Hii inaleta uwiano mzuri sasa kwakuwa si lazima uwe mbunge ndio utunukiwe udaktari huo wa heshima.

Napenda kumtambua DR BILGERT
Napenda kumtambua DR HAYA LAND
Napenda kumtambua Dr Lizzy
Napenda kumtambua Dr Matola PhD
Napenda kumtambua Dr. Mariposa
Napenda kumtambua Dr Rutagwerera Sr
Napenda kumtambua Dr Restart

Itifaki imezingatiwa...! Asanteni sana kwa kuitoa JF kimasomaso lakini sio kiroho papo..!
NB: kama nimekuruka ama nimekusahau usiumie tafadhali ni tag nikuongeze kwenye list [emoji1545]
 
Naomba pia upewe udaktari wa heshimu kaka Mshana πŸ˜…
 
Kweli mkuu ni Jambo Jema kutambua umuhimu wa wasomi wa thesis's
 
Umenisahau Dr Rutagwerera Sr πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…