Naomba pia upewe udaktari wa heshimu kaka Mshana πSina hakika lakini nadhani udaktari wao ni wa heshima kama wale wabunge wetu kule mjengoni.. Hii inaleta uwiano mzuri sasa kwakuwa si lazima uwe mbunge ndio utunukiwe udaktari huo wa heshima
Napenda kumtambua DR BILGERT
Napenda kumtambua DR HAYA LAND
Napenda kumtambua Dr Lizzy
Napenda kumtambua Dr Matola PhD
Napenda kumtambua Dr. Mariposa
Itifaki imezingatiwa...! Asanteni sana kwa kuitoa JF kimasomaso lakini sio kiroho papo..!
Kweli mkuu ni Jambo Jema kutambua umuhimu wa wasomi wa thesis'sSina hakika lakini nadhani udaktari wao ni wa heshima kama wale wabunge wetu kule mjengoni.. Hii inaleta uwiano mzuri sasa kwakuwa si lazima uwe mbunge ndio utunukiwe udaktari huo wa heshima
Napenda kumtambua DR BILGERT
Napenda kumtambua DR HAYA LAND
Napenda kumtambua Dr Lizzy
Napenda kumtambua Dr Matola PhD
Napenda kumtambua Dr. Mariposa
Itifaki imezingatiwa...! Asanteni sana kwa kuitoa JF kimasomaso lakini sio kiroho papo..!
π€£π€£π€£ThubutuMuda si mrefu nami nitapata udokta niitwe dacta mwizukulu mgikuru
Hutaki au hupendi mchumba wanguππ€£π€£π€£Thubutu
Hakikisha unasoma na una andaa thesis's ili uweze kutambulika Kama daktari wa falisafa.Muda si mrefu nami nitapata udokta niitwe dacta mwizukulu mgikuru
π€£Najua utapata kamanda wanguHutaki au hupendi mchumba wanguπ
Ameenππ€£Najua utapata kamanda wangu
[emoji23][emoji23][emoji23] kuna wana watamaindi vibaya mno, acha tu nibaki hapa hapa DR BILGERTNaomba pia upewe udaktari wa heshimu kaka Mshana [emoji28]
Dr. Shimba ya Buyenze PhDMkuu Shimba ya Buyenze kwa nini hujaongeza jina Hadi Sasa likasomeka Dr Shimba ya Buyenze ?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Umenisahau Dr Rutagwerera Sr πSina hakika lakini nadhani udaktari wao ni wa heshima kama wale wabunge wetu kule mjengoni.. Hii inaleta uwiano mzuri sasa kwakuwa si lazima uwe mbunge ndio utunukiwe udaktari huo wa heshima
Napenda kumtambua DR BILGERT
Napenda kumtambua DR HAYA LAND
Napenda kumtambua Dr Lizzy
Napenda kumtambua Dr Matola PhD
Napenda kumtambua Dr. Mariposa
Itifaki imezingatiwa...! Asanteni sana kwa kuitoa JF kimasomaso lakini sio kiroho papo..!
Mwambie aende Darasa akumbukie Nyakati za Korogwe TTCNaomba pia upewe udaktari wa heshimu kaka Mshana π