Nawapongeza ma Doctor wapya wa JF

Nawapongeza ma Doctor wapya wa JF

Sina hakika lakini nadhani udaktari wao ni wa heshima kama wale wabunge wetu kule mjengoni.. Hii inaleta uwiano mzuri sasa kwakuwa si lazima uwe mbunge ndio utunukiwe udaktari huo wa heshima
Napenda kumtambua DR BILGERT
Napenda kumtambua DR HAYA LAND
Napenda kumtambua Dr Lizzy
Napenda kumtambua Dr Matola PhD
Napenda kumtambua Dr. Mariposa
Napenda kumtambua Dr Rutagwerera Sr

Itifaki imezingatiwa...! Asanteni sana kwa kuitoa JF kimasomaso lakini sio kiroho papo..!
[emoji1][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom