Nawapongeza ma Doctor wapya wa JF

Nawapongeza ma Doctor wapya wa JF

Sina hakika lakini nadhani udaktari wao ni wa heshima kama wale wabunge wetu kule mjengoni.. Hii inaleta uwiano mzuri sasa kwakuwa si lazima uwe mbunge ndio utunukiwe udaktari huo wa heshima.

Napenda kumtambua DR BILGERT
Napenda kumtambua DR HAYA LAND
Napenda kumtambua Dr Lizzy
Napenda kumtambua Dr Matola PhD
Napenda kumtambua Dr. Mariposa
Napenda kumtambua Dr Rutagwerera Sr
Napenda kumtambua Dr Restart

Itifaki imezingatiwa...! Asanteni sana kwa kuitoa JF kimasomaso lakini sio kiroho papo..!
NB: kama nimekuruka ama nimekusahau usiumie tafadhali ni tag nikuongeze kwenye list [emoji1545]
Mkuu Mshana Jr tafadhali mkumbuke dr namugari kwa hisani ya wizara ya afya na wafanya kazi wote
 
Sina hakika lakini nadhani udaktari wao ni wa heshima kama wale wabunge wetu kule mjengoni.. Hii inaleta uwiano mzuri sasa kwakuwa si lazima uwe mbunge ndio utunukiwe udaktari huo wa heshima.

Napenda kumtambua DR BILGERT
Napenda kumtambua DR HAYA LAND
Napenda kumtambua Dr Lizzy
Napenda kumtambua Dr Matola PhD
Napenda kumtambua Dr. Mariposa
Napenda kumtambua Dr Rutagwerera Sr
Napenda kumtambua Dr Restart

Itifaki imezingatiwa...! Asanteni sana kwa kuitoa JF kimasomaso lakini sio kiroho papo..!
NB: kama nimekuruka ama nimekusahau usiumie tafadhali ni tag nikuongeze kwenye list [emoji1545]
Nitumie fursa hii kipekee niombe Moderators wanipandishe cheo nisomeke Dr. Wadiz kwanzia sasa
 
Back
Top Bottom