Mnyakyusa Ipinda
JF-Expert Member
- Dec 9, 2020
- 439
- 1,526
Wakuu za wakati huu. Naomba nipongeze uhamiaji makao makuu kwa huduma nzuri wanazotoa kiukweli, yani sikutegemea.
Kiukweli askari wote (au nilokutana nao) wanahuduma nzuri sana, yani wanakuelewesha vizuri pasipoeleweka, wanatabasam na wana lugha nzuri sana na ya kukufanya utake kuuliza zaidi na zaidi, hata wakati wa kuhojiwa yani wanakua tu na msisitizo wa maswali yao lakini sio kwa kufoka foka.
Nilifika ofisi za uhamiaji nikaulizia process na viambatanisho hitajika ili niweze kupata Passport yangu ya kusafiria kwa sababu nimepata kazi huko jirani, nilipokelewa na askari ambae alinipokea vizuri sana na kunihudumia vizuri ambao hata sikutegemea, sababu sehemu nyingi kiukweli kwa experience yangu ambazo wapo askari wa jeshi lolote lile huwa wanakua aggresive na harsh sana sometimes , yani commands na hasira hasira zinatawala. Basi akanieleza viambatanisho na evidence nikarudi home kujichanga nikaanze process, nimejichanga kwa tabu nikaweka thread humu ya kuomba msaada hata kukopeshwa nimalize process ikafutwa mda huo huo.
Nikapata nikarudi tena, kiukweli wako vizuri na ndani ya siku chache tu nimepata passport yangu, tofauti na huko nyuma naona baadhi ya thread huko nyuma zinazungumzia uhamiaji makao makuu vibaya na kucheleweshwa huduma lakini imekua tofauti, nimefurahi sana, na procedure zao ni nzuri na zinaeleweka, yani hata kama kuna rushwa watu wanapokea basi sijui lakini kwa uwazi wa huduma uliopo na uharaka nahisi ni ngumu sana, nimependa tu askari wote wako vizuri katika kuhudumia.
TOFAUTI NA UHAMIAJI ARUSHA - Huku ndo wanatakiwa wajirekebishe, hasa askari wa kike, mwezi wa kwanza nilimsindikiza rafki angu alikua nafatilia jambo lake, yani kuna askari wakike watatu walikuepo hapo kwenye madirisha wanamakasiriko sana, yani wanakufokea wanahasira wamekasirika kasirika, pia huduma zilikua very slow na ndio sababu nilipoona huduma za Uhamiaji makao makuu nikashangaa sababu sikutegemea, nilitegemea ya Arusha. Arusha mjirekebishe na mko slow pia, sijui ni sababu kuna baridi au ni nini, ila kiukweli Uhamiaji kwa sasa mko vizuri ni viupungufu vidogo vidogo tu.
Hongera kwa mkuu wa jeshi la uhamiaji, majeshi mengine (except JWTZ since wana rules zao kali) muige mfano. Nashuru nimemalizana na la passport sasa mniombee nimalizane na la Covid manake 235000 sijui inafikaje nikapime niondoke. God will help lakini naamini.
Kiukweli askari wote (au nilokutana nao) wanahuduma nzuri sana, yani wanakuelewesha vizuri pasipoeleweka, wanatabasam na wana lugha nzuri sana na ya kukufanya utake kuuliza zaidi na zaidi, hata wakati wa kuhojiwa yani wanakua tu na msisitizo wa maswali yao lakini sio kwa kufoka foka.
Nilifika ofisi za uhamiaji nikaulizia process na viambatanisho hitajika ili niweze kupata Passport yangu ya kusafiria kwa sababu nimepata kazi huko jirani, nilipokelewa na askari ambae alinipokea vizuri sana na kunihudumia vizuri ambao hata sikutegemea, sababu sehemu nyingi kiukweli kwa experience yangu ambazo wapo askari wa jeshi lolote lile huwa wanakua aggresive na harsh sana sometimes , yani commands na hasira hasira zinatawala. Basi akanieleza viambatanisho na evidence nikarudi home kujichanga nikaanze process, nimejichanga kwa tabu nikaweka thread humu ya kuomba msaada hata kukopeshwa nimalize process ikafutwa mda huo huo.
Nikapata nikarudi tena, kiukweli wako vizuri na ndani ya siku chache tu nimepata passport yangu, tofauti na huko nyuma naona baadhi ya thread huko nyuma zinazungumzia uhamiaji makao makuu vibaya na kucheleweshwa huduma lakini imekua tofauti, nimefurahi sana, na procedure zao ni nzuri na zinaeleweka, yani hata kama kuna rushwa watu wanapokea basi sijui lakini kwa uwazi wa huduma uliopo na uharaka nahisi ni ngumu sana, nimependa tu askari wote wako vizuri katika kuhudumia.
TOFAUTI NA UHAMIAJI ARUSHA - Huku ndo wanatakiwa wajirekebishe, hasa askari wa kike, mwezi wa kwanza nilimsindikiza rafki angu alikua nafatilia jambo lake, yani kuna askari wakike watatu walikuepo hapo kwenye madirisha wanamakasiriko sana, yani wanakufokea wanahasira wamekasirika kasirika, pia huduma zilikua very slow na ndio sababu nilipoona huduma za Uhamiaji makao makuu nikashangaa sababu sikutegemea, nilitegemea ya Arusha. Arusha mjirekebishe na mko slow pia, sijui ni sababu kuna baridi au ni nini, ila kiukweli Uhamiaji kwa sasa mko vizuri ni viupungufu vidogo vidogo tu.
Hongera kwa mkuu wa jeshi la uhamiaji, majeshi mengine (except JWTZ since wana rules zao kali) muige mfano. Nashuru nimemalizana na la passport sasa mniombee nimalizane na la Covid manake 235000 sijui inafikaje nikapime niondoke. God will help lakini naamini.