ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Mnyonge mnyongeni lakini hakini yake mpeni.
Leo nimesafiri na hii meli kutoka Mwanza kuelekea Bukoba kusema la ukweli nimefurahia safari. Meli inavutia mno seat ziko vizuri, huduma ya chakula, upande wa bar Kuna vinywaji na burudani hadi nimeisahau kama Niko safarini.
Wahudumu wameli wako vizuri na ni wakarimu mno. Wako tofauti na wahudumu wengine wa taasisi za umma.
Heko Kwa uongozi wa meli hii Kwa ubunifu wa huduma. Penye kusifia tusifie, penye kukosoa tukosoe
Pia soma:
Leo nimesafiri na hii meli kutoka Mwanza kuelekea Bukoba kusema la ukweli nimefurahia safari. Meli inavutia mno seat ziko vizuri, huduma ya chakula, upande wa bar Kuna vinywaji na burudani hadi nimeisahau kama Niko safarini.
Wahudumu wameli wako vizuri na ni wakarimu mno. Wako tofauti na wahudumu wengine wa taasisi za umma.
Heko Kwa uongozi wa meli hii Kwa ubunifu wa huduma. Penye kusifia tusifie, penye kukosoa tukosoe