Nawapongeza serikali Kwa ukarabati wa meli Ya MV Victoria Hapa kazi tu

Nawapongeza serikali Kwa ukarabati wa meli Ya MV Victoria Hapa kazi tu

We umekomalia kunguni.
Hii meli ni nzuri na kunguni hawamo.
Hata kama wamo, hupaswi kubeza kazi hii nzuri, hili meli lilipaki miaka kadhaa ila Sasa lipo kama jipya kabisa na Lina kasi nzuri.
Na Sasa nimeona wanapanua bandari ya Kemondo,
Mambo ni mazuri.
Serikali ikiongeza meli 1 itakuwa poa zaidi
Naona umejaa misifa tu isiyo na mashiko, meli lina kunguni au itakuwa unaishi nao hao wadudu ndo maana husikii wala huwaoni ukienda mazingira mengine sababu unakuwa kwenye mifugo ileile,
 
Mtu kasafiri juzi tu ananibishia, treni yenyewe muda si mrefu wadau watapandikiza mbegu, ndo ije kuwa meli watu wanalala humo tena wakikagua vizuri hata chawa wamo
🤣🤣🤣🤣🤣niipanda basi moja nikapewa show na kunguni nilashuka ikabidi nilale ofisini
 
Back
Top Bottom