Nawapongeza serikali Kwa ukarabati wa meli Ya MV Victoria Hapa kazi tu

Naona umejaa misifa tu isiyo na mashiko, meli lina kunguni au itakuwa unaishi nao hao wadudu ndo maana husikii wala huwaoni ukienda mazingira mengine sababu unakuwa kwenye mifugo ileile,
 
Mtu kasafiri juzi tu ananibishia, treni yenyewe muda si mrefu wadau watapandikiza mbegu, ndo ije kuwa meli watu wanalala humo tena wakikagua vizuri hata chawa wamo
🤣🤣🤣🤣🤣niipanda basi moja nikapewa show na kunguni nilashuka ikabidi nilale ofisini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…