We umekomalia kunguni.
Hii meli ni nzuri na kunguni hawamo.
Hata kama wamo, hupaswi kubeza kazi hii nzuri, hili meli lilipaki miaka kadhaa ila Sasa lipo kama jipya kabisa na Lina kasi nzuri.
Na Sasa nimeona wanapanua bandari ya Kemondo,
Mambo ni mazuri.
Serikali ikiongeza meli 1 itakuwa poa zaidi