Nimeona hawa vijana wa Kenya wapo tofauti sana na hapa kwetu, Kwenye suala la kulimbikiziwa tozo na kodi hawanong'oni kimya kimya mitandaoni, ni wamechachamaa !!
Wana spirit ya kuhoji vitu, "Inakuwaje Kenya inapokea matrilioni ya misaada kila mwaka na kuomba mikopo yamatrilioni kwajili ya kuleta maendeleo ya kupunguza ukali wa maisha alafu mambo yanakuwa kinyume Serikali hio hio ianze tena kuongeza makali ya maisha kwa kuwaongezea kodi wananchi ?"
Vitu vinavyozungumzwa na vijana ni very critical, Ujasiri wao sio wa kupimwa vitani bali kwenye kupambania haki za kuwletea maendeleo.
Anyway, naombeni ratiba za yanga day na simba day, tetesi za usajili, ligi inaanza lini, Kibu D kasaini mkataba mpya ?, Aziz Ki anabaki au kuondoka ?
Wana spirit ya kuhoji vitu, "Inakuwaje Kenya inapokea matrilioni ya misaada kila mwaka na kuomba mikopo yamatrilioni kwajili ya kuleta maendeleo ya kupunguza ukali wa maisha alafu mambo yanakuwa kinyume Serikali hio hio ianze tena kuongeza makali ya maisha kwa kuwaongezea kodi wananchi ?"
Vitu vinavyozungumzwa na vijana ni very critical, Ujasiri wao sio wa kupimwa vitani bali kwenye kupambania haki za kuwletea maendeleo.
Anyway, naombeni ratiba za yanga day na simba day, tetesi za usajili, ligi inaanza lini, Kibu D kasaini mkataba mpya ?, Aziz Ki anabaki au kuondoka ?