Nawasalimu Wasichana na Wanawake!

Wapo ila wanakula ujana kwanza kuolewa baadae saivi ukiwataka uwe njema saana mfukoni
Sio dharau, ni ukweli huu labda huyo wa 30 aolewe na mzee,
Na hao wa 20 - 25 hawajitokezi kwasababu wengine wanaogopa kuwa kwenye hadhara ya jamii...

We fikiria Jf ina members elfu 49+, je wanakosekana hao wa 20 - 25
 
Inabidi niwasalimie wanawake wote wa JF ambao hawajaolewa; walioolewa watasalimiwa na waume zao tu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe mnatongozana humu[emoji276][emoji276]
Nawasalimu wadada wote mlionipiga kibuti humu...Mungu anawaona
 
Sasa unataka tuagize maharage wakati nyumbani tumeyaacha.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…