Nawasalimu Wasichana na Wanawake!

[emoji23][emoji23][emoji23] waache wakule cha muhimu wawe wanatuma na ya kutolea sio wanatupa zambi na bado wanatukopa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Natuma salamu kwa wavulana na wanaume wote wanaotongoza kwa meseji,

ujumbe; acheni udomo zege, omba namba kisha weka appointment kwenye 5stars hotel.
Mwanamke mzuri ni yule wa kukutana uswahilini...[emoji41][emoji41]
 
Write your reply...nawasalimia wadada wote wenye chura na soft face nyie wenye pasii na sura za baba zenu mtasalimiwa na kaka zenu huko nyumban kwenu

[emoji41] [emoji41] [emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Natuma salamu kwa wavulana na wanaume wote wanaotongoza kwa meseji,

ujumbe; acheni udomo zege, omba namba kisha weka appointment kwenye 5stars hotel.
Meseji ndo kila kitu ukiitwa hotelini ni kutoa huduma tu sio kutongozana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…