EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
*Nawasalimia [emoji68]WASICHANA na WANAWAKE [emoji70]wale mnao GOOGLE chakula na kupost mitandaoni ili muonekane ni wakishua kumbe wa MBAGALA,*_
_*Nawasalimia WANAWAKE na WASICHANA weupe [emoji70]mitandaoni ila mkiwa kwenu WEUSI,*_
_*Nawasalimia WASICHANA Ninao watumia TEXT wanazijibu kwa NYODO mfano[emoji106] P,K,O,S!! Mimi nilishaoa [emoji23]
_*Nawasalimia WASICHANA wale Wanao kuomba URAFIKI FB halafu ukianzisha Chating wanakuuliza wew NANI[emoji23][emoji23][emoji23] Mimi ni Nyani kutoka Mikumi,*_
_*Nawasalimia WASICHANA wale Wanaopst picha ukiccoment Anareply ukimfata inbox Anauchuna ila ukitaja helaa Anakujibu kama UMEME WA LUKU Hamjambo jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*
_*Nawasalimia Wale WASICHANA mnaonichunia MITANDAONI ila Tukikutana MTAANI Mnaniita ita kama mnanijua[emoji23][emoji23][emoji23] PLEASE NIPENI BREAK,*_
_*Nawasalimia WASICHANA Ambao ni wacha MUNGU mitandaoni ila nje Ni wauza MIILI, Salamu Ziwafikie[emoji23][emoji23][emoji23]*_
_*Nawasalimia wale WASICHANA mnaosema hakuna TRUE LOVE mitandaoni hali ya kuwa Mkiombwa No za Simu Mnatoa, KARIBUNI CHAI ya usiku[emoji3][emoji3][emoji3]*_
_*Nawasalimia Wale WASICHANA mliotongozwa MTANDAONI nampaka sasa hamjawahi kuonana na hao waliowatongoza,nawapa hi kwa hisani ya Pierre Liquid [emoji28]
_*Nawasalimia wale WASICHANA woteee mliokimbia SHULE ila MTANDAONI wameandika wamesomea UDSM, IFM, CBE, SAUT NA UDOM nawakumbusha NAWAKUMBUSHA, MUNGU ANAWAONA*_ [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
_*Nawasalimia wale WASICHANA na WANAWAKE ukichart nao wanakujibu kwa KINGEREZA ila ukimtukana Anakujibu kwa KISWAHILI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muoneni Ras Simba*_
_*Nawasalimia wale WASICHANA mnaojiita CUTE, PRINCESS PREATY, CANDY kumbe mtaani unaitwa Bupe, Sikujua, Havinitishi, Ngolo[emoji23][emoji23][emoji23] WAZAZI WENU WANAWATAFUTA,*_
_*Nawasalimu WASICHANA mnao TONGOZWA mtandaoni kisha mnasema Mtumiwe NAULI, Badilisheni Mbinu VYUMA VIMEKAZA!!*,shenzi zenu [emoji47]
Kuna wasichana na WANAWAKE watasoma salamu hizi lakin watatoka bila kukoment hapa,acha roho mbaya wewe [emoji23][emoji23],nakuona tu .
_*Nawasalimia WANAWAKE na WASICHANA weupe [emoji70]mitandaoni ila mkiwa kwenu WEUSI,*_
_*Nawasalimia WASICHANA Ninao watumia TEXT wanazijibu kwa NYODO mfano[emoji106] P,K,O,S!! Mimi nilishaoa [emoji23]
_*Nawasalimia WASICHANA wale Wanao kuomba URAFIKI FB halafu ukianzisha Chating wanakuuliza wew NANI[emoji23][emoji23][emoji23] Mimi ni Nyani kutoka Mikumi,*_
_*Nawasalimia WASICHANA wale Wanaopst picha ukiccoment Anareply ukimfata inbox Anauchuna ila ukitaja helaa Anakujibu kama UMEME WA LUKU Hamjambo jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*
_*Nawasalimia Wale WASICHANA mnaonichunia MITANDAONI ila Tukikutana MTAANI Mnaniita ita kama mnanijua[emoji23][emoji23][emoji23] PLEASE NIPENI BREAK,*_
_*Nawasalimia WASICHANA Ambao ni wacha MUNGU mitandaoni ila nje Ni wauza MIILI, Salamu Ziwafikie[emoji23][emoji23][emoji23]*_
_*Nawasalimia wale WASICHANA mnaosema hakuna TRUE LOVE mitandaoni hali ya kuwa Mkiombwa No za Simu Mnatoa, KARIBUNI CHAI ya usiku[emoji3][emoji3][emoji3]*_
_*Nawasalimia Wale WASICHANA mliotongozwa MTANDAONI nampaka sasa hamjawahi kuonana na hao waliowatongoza,nawapa hi kwa hisani ya Pierre Liquid [emoji28]
_*Nawasalimia wale WASICHANA woteee mliokimbia SHULE ila MTANDAONI wameandika wamesomea UDSM, IFM, CBE, SAUT NA UDOM nawakumbusha NAWAKUMBUSHA, MUNGU ANAWAONA*_ [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
_*Nawasalimia wale WASICHANA na WANAWAKE ukichart nao wanakujibu kwa KINGEREZA ila ukimtukana Anakujibu kwa KISWAHILI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muoneni Ras Simba*_
_*Nawasalimia wale WASICHANA mnaojiita CUTE, PRINCESS PREATY, CANDY kumbe mtaani unaitwa Bupe, Sikujua, Havinitishi, Ngolo[emoji23][emoji23][emoji23] WAZAZI WENU WANAWATAFUTA,*_
_*Nawasalimu WASICHANA mnao TONGOZWA mtandaoni kisha mnasema Mtumiwe NAULI, Badilisheni Mbinu VYUMA VIMEKAZA!!*,shenzi zenu [emoji47]
Kuna wasichana na WANAWAKE watasoma salamu hizi lakin watatoka bila kukoment hapa,acha roho mbaya wewe [emoji23][emoji23],nakuona tu .