Nawashangaa mashabiki wa Simba kushangilia ushindi wa Jana wakati mliemfunga sio level yenu

44mg44

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2019
Posts
2,158
Reaction score
2,186
Wasalaam!!!
Inawezekaneje:
1.Kumpiga mait harafu ujitape kuwa wew Ni shujaa???
2.Kumpiga mtoto wa chekechea harafu ujidai kuwa wew Ni mwamba??
3.Kumpiga na bunduki mtu Mwenye gobole harafu ujitape kuwa wew Ni shujaa???
•Ndugu Wana Simba Yanga sio level yenu.
•Level yenu Ni akina Raja,Wydad hao mkiwafunga ndo mshangilie
•Rank za CAF zinaonesha kuwa Simba ni moja ya timu bora Sana barani Africa,lakin Yanga hata hawaifaham. Ukweli ndo huo
Nawasilisha
 
Jifurahishe, make imeuma sana, nyie mlivyo kuwa mmepania kuifunga na kusema kuwa mmezoea kuwafunga, endeleeni kubadilisha misemo tu.
 
Kama Unakumbuka Siku Yangu Inafungwa Na Ihefu Waliaandaa Sherehe Ya Unbeaten
Balaa Likawakuta Wakadundwa Keki Ikawa Chungu Sana Sana
Jana GSM Alijiandaa Kufutulisha Bhalaa Tena Wakapigwa Chap Chap Kama Ngoma
 
Unataka watoe miiko nyuma wakupige nayo😂😂
 
Hata sijui kwann nimefungua huu utumbo uliooza
 
Tatizo hao manyani tulicheka nao muda mrefu, ole wao wameingia 18 za mnyama kawaralua. Lazima watu washangilie kero yao kutatuliwa.

Au nasema uongo wananchi wangu wa matopeni wala mihogo.
 
Na wew ni miongon mwa waliozimia tangu Jana eee?? Vp maumivu yameisha??
Njaa itawaua wala mihogo. Hakikisheni mnakula mihogo yenu ndipo muangalie hiz derby. Uto wengi walikata moto hadi baadae wanazinduka ndio hivo tena.

Nahis kabisa Nabi na Kaze watakuja iabisha Yanga fainali ya FA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…