CHADEMA should watch out:-
Bila katiba ya Tanganyika, uchaguzi 2015 utafanyika bila Tume Huru.
Nashauri Kwanza ipatikane katiba ya Tanganyika kabla ya katiba ya Muungano.
Ama Tume Huru ya uchaguzi ipatikane kwanza kabla ya Katiba ya Muungano.
Nina wasi wasi sana na Warioba.....!!!!
Bila katiba ya Tanganyika, uchaguzi 2015 utafanyika bila Tume Huru.
Nashauri Kwanza ipatikane katiba ya Tanganyika kabla ya katiba ya Muungano.
Ama Tume Huru ya uchaguzi ipatikane kwanza kabla ya Katiba ya Muungano.
Nina wasi wasi sana na Warioba.....!!!!