Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
nawashauri jirani msimchague raila maana moto unawaka huku ,na huko ukiwaka mtakimbilia wapi.
si mnajua ni marafiki?
si mnajua ni marafiki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3]
ulishawai kuona budget ikiwa implemented kwa asilimia 23? nyie chekeniKatika ubora wako.
Ilo sikulifaham...budget ya maneno tu kumbe? [emoji30]ulishawai kuona budget ikiwa implemented kwa asilimia 23? nyie chekeni
hewaIlo sikulifaham...budget ya maneno tu kumbe? [emoji30]
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
kweli majirani msichezee shilingi baharini mtajutie
Nakusihi karudi kule kwenye jukwaa lako maarufu la mapenzi,huku hautoeleweka kwa sababu haujui mambo yenye tija kama haya.
😀😀
nyie watu wa odinga nyie huo ndo ukweliNaona umeleta utoto wako humu, bora kunyamaza kuliko kuongea mambo usiyoyajua. Kama ulivyoshauriwa hapo juu, nenda kacheze kwenye jukwaa la mapenzi. Humu kina kirefu kwako.
Huu ushauri kwanza ilibidi kuusoma tu wakulipe,maana umewashauri kwa wakati muafaka kabisanyie watu wa odinga nyie huo ndo ukweli
Sasa kwanini unawashauri?nawashauri jirani msimchague raila maana moto unawaka huku ,na huko ukiwaka mtakimbilia wapi.
si mnajua ni marafiki?