Nawashukuru ICC-Mahakama ya Kimataifa kwa kunijibu na kunipa mwongozo wa kumshitaki Rais kuvunja Katiba ya Nchi

IQ yako ipo ICU
Tatizo uelewa wako upo chini sana, habari hapa ni jinsi ICC walivyo makini kwenye utendaji wao.
Tayari washatoa muongozo kwa mhusika jinsi ya kufanya ili waweze kutimiza ndoto za mlalamikaji.
yaani kuna wengine mawazo yao kama vile CHADEMA bado ipo
huyo jamaa tangu mwanzo alipotangaza maandamano nilijua ni punguani km wanachama wenzake wanaopenda kuendeleza siasa wakati Uchaguzi umeisha
Hivi kweli ICC itaweka mguu hapa Tanzania kwa hayo malalamiko yenu na ya Amsterdam
huy Trump tu keshakaa pembeni kwanini msivumilie MIAKA 5 TENA?
 
Ni upumbavu mtupu na wamekuona huna uelewa wa mambo na wamekujibu kiungwana kwa sababu wanakuona ni mshamba fulani hivi ambaye unaichukulia ICC kama mahakama ya mwanzo ya Tandika kwa Maguruwe.
 
Mkuu Don Masqo nimeingia huku kukujulia hali tu.

Nilikukumbuka leo katika mbanga zangu za hapa na pale, nikajiuliza huyu alwatan yupo kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…