Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wana JF wote,
Naomba nitoe shukurani nyingi sana kwa wanajf wote walionipa ushauri kuhusiana na thread yangu niliyoanzisha hapa kuomba ushauri wa nn cha kufanya baada ya kupata dv 4 ya point 18(form 6). Nilikata tamaa sana, nilivunjika moyo kwa kiasi kikubwa sana, lakin NAWASHUKURU SANA KWA USHAURI WENU MLIONIPA,ULINIINUA,ULINAPA MWANGA MPANA SANA, NILIUFANYIA KAZI (baadhi...lol siyo ushauri wote). Sept naanza chuo rasmi kusomea diploma.
Kila jambo jema liwe sehemu ya pumzi yenu, MUNGU AZIDI KUWABARIKI ,AWAZIDISHIE UPENDO,HEKIMA NA BUSARA ZAIDI. NAWAPENDA ZAIDI, ASANTENI SANA.
<br />Shukrani zako zimebeba uzito mkubwa, si wote wanaokumbuka kushukuru. Hata hivyo muombe Mungu huku ili ufanikiwe diploma yako, japo hujasema diploma ipi.
<br />swadaktaaaaaaaaaaa we ndo miongoni mwa binadamu wachache tunaowatafuta, uliomba ukapewa ukashukuru
<br />
<br />
ASANTE SANA MR ROCKY, LA MUHIMU TUZIDI KUOMBEANA UZIMA WA AFYA NJEMA.
<br />swadaktaaaaaaaaaaa we ndo miongoni mwa binadamu wachache tunaowatafuta, uliomba ukapewa ukashukuru
hongera sana, soma sana uwe kama malaria sugu<br />
<br />
ASANTE SANA Kapipi, ntahakikisha siwi mzembe ili nitekeleze kile kilichonipeleka huko. Nashukuru kwa kunipa moyo zaidi.