Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
- Thread starter
- #41
Tunaomba majina yao tafadhali ili tuwafikishie pongezi rasmi...
wapo tu ndugu yangu, washukuru tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaomba majina yao tafadhali ili tuwafikishie pongezi rasmi...
Lady Dai namaanisha kwa nini tunaanza kuweka rangi na mbari kwenye haya mapambano - kwani tuna uhakika gani kuwa hawa walipuaji wa mafisadi ni Watanzania wenye asili ya wapi? Ufisadi hauna rangi wala kabila. Vivyo hivyo, mapambano dhidi ya ufisadi hayana rangi wala kabila!
Mwanakijiji tafadhali badili bandiko lisomeke hivi: Nawashukuru Watanzania Wazalendo hawa; historia itawakumbuka.
mwanakijiji bana mara mooja mooja anakua ana akili.......ahhahahahhh kwa hili i like it.....ila watch out your coming project they might ruin it
Uzushi mtupu, gari moshi lilianzia stesheni namba moja, chanzo cha matatizo yote ya Tanzania ya leo ni Nyerere, Ujamaa ulikuwa ni chanzo cha matatizo na hilo halipingiki.
"[FONT=Verdana,Arial,Helvetica]But the Tanzanian experiment offers good evidence that saints do not really make very good presidents"[/FONT]
Kishoka, huna sababu ya kupoteza muda kwa watu wenye malengo ya kupotosha mada.Dar Es Salaam,
Hivi bila kumtaja JKN katika kila kitu huwezi kuishi? Maada inazungumzia kilichotokea hivi karibuni, wewe unadai ni uzushi, je ni kipi ambacho ni uzushi kuhusiana na Shukrani za Mwanakijiji kuhusian n mambo tuliyonayo nyakat hizi?