Nawashukuru Watanzania-Waasia hawa; historia itawakumbuka


Nimetumia hilo kuweka msisitizo nilioukusudia. Sijaona bado sababu ya kuibadilisha.
 

Dar Es Salaam,

Hivi bila kumtaja JKN katika kila kitu huwezi kuishi? Maada inazungumzia kilichotokea hivi karibuni, wewe unadai ni uzushi, je ni kipi ambacho ni uzushi kuhusiana na Shukrani za Mwanakijiji kuhusian n mambo tuliyonayo nyakat hizi?
 
Dar Es Salaam,

Hivi bila kumtaja JKN katika kila kitu huwezi kuishi? Maada inazungumzia kilichotokea hivi karibuni, wewe unadai ni uzushi, je ni kipi ambacho ni uzushi kuhusiana na Shukrani za Mwanakijiji kuhusian n mambo tuliyonayo nyakat hizi?
Kishoka, huna sababu ya kupoteza muda kwa watu wenye malengo ya kupotosha mada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…