Jamani natatizo la kuwashwa zaid miez 10 nmetumia dawa za allergy cream za fungus lakini sponi
Unaogea sabuni gani ya mche, ya unga, ya ngozi, ya marashi, ya kemikali, ya kujichubua ngozi?
Unatumia mafuta gani ya nazi, ya mgando, ya lotion, ya kemikali?
Unafua nguo zako mara kwa mara au unajivundika mpaka unachacha maa na nguo hizo hizo Mwezi mzima?
Unaoga mara ngapi kwa siku, mara 1, mara 2 au mara 3?
Unavaliana nguo na mtu yeyote, ndio au hapana?
Mara ya mwisho kuhudhuria hospital ilikua lini na vipimo vilionyesha unasumbuliwa na nini?
Ushawahi mtembelea specialist yoyote WA magonjwa ya ngozi, mara ya mwisho kuonana na specialist ilikua lini?
Tupatie hayo majibu alafu Madaktari wa JF tukusaidie zaidi