ndugu yako
Senior Member
- Mar 30, 2013
- 193
- 96
Habari wanajf?!
Nakumbuka nikiwa mdogo nilipokuwa nikiugua, nikimeza dawa za anti biotic nikikaribia kupona basi nilikuwa nawashwa sana karibia mwili mzma hali hii ilikuwa ikinitesa sana kwa sababu nilikuwa nakosa hadi usingizi! ila gafla tu hii hali ilipotea zaidi ya miaka 15!! Sasa tokea juzi imerudi tena sema sasa hivi nawashwa sana mikononi!
Je hii hali inatokana na nini na nifanye nini ili niitibu kabisaaa?!
Nakumbuka nikiwa mdogo nilipokuwa nikiugua, nikimeza dawa za anti biotic nikikaribia kupona basi nilikuwa nawashwa sana karibia mwili mzma hali hii ilikuwa ikinitesa sana kwa sababu nilikuwa nakosa hadi usingizi! ila gafla tu hii hali ilipotea zaidi ya miaka 15!! Sasa tokea juzi imerudi tena sema sasa hivi nawashwa sana mikononi!
Je hii hali inatokana na nini na nifanye nini ili niitibu kabisaaa?!