Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aah kupima mbona kama kawa mkuuKama mlikuwa hamjapima ujiandae kwenda kupima mkuu.
woyooooooooo! nikanywe supu ya kuku ya kienyeji[emoji13][emoji13][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] princess nitafute nikutumie ef 10
bustani ni kutunzwa sasa imegeuka kama shamba la kataniK bila nywele (kibustani) kidogo ni sawa na kuwa na baa nzuri bila kuuzwa bia[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Zipunguzwe kidogo ili mambo yende sawabustani ni kutunzwa sasa imegeuka kama shamba la katani
[emoji125] [emoji14] [emoji14] [emoji125][emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] au kalunguyeye[emoji85]
sweta huku kwetu ni ukanda flan tuMila pia zinachangi niliwahi kudate na lecturer wangu alikuwa muhindi (sio wote) hakuwahi kunyoa tangu alipozaliwa jando pia hakuna ni mwendo wa sweta
kama imekugusa kwa namna moja ama nyingine niwie radhi
Mkuu kama hutojali nitajie jina/majina.....nafahamu Magic Powder tu ambayo nadhani sio recomended pande zileMkuu kuna shaving creams, dakika tatu ukienda kuoga mambo safi, haya mambo ya topz mbona ni zama za ujima.
Hiyo katerero ina maeneo flan ya miji sio wote wenye kuifahamu
vyote wekaaaunataka uone nini sasa hilo kombora la mkorea au hicho kinu cha nyuklia
mmhh haya nitajaribu kama hakutotokea mlipukovyote wekaaa
nche ya viwonderhum hum au nche ya viwonder
sawa sawa kupunguza kujeruhi watuZipunguzwe kidogo ili mambo yende sawa
Hahaha kwa kina Saba Unusu..[emoji23][emoji23][emoji23] natokea mashariki ya mbali
nche ya viwonder
Sasa kama hakuna utavionajeyaani ni bamper 2 bamper sijvioni mbona ?