Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dunia imebadirika sana mkuu,, nadhanu ndiomana ule uzi wako wa freemasonry uliuachia njiani nje ya maada.Duh inasikitisha sana
Sio kweli mkuu,sisi tulikuwa tuna cremimu mavitu hayapo tena duniani.Mimi nilitumia Abott kwenye physics which most of the science narrative has changed.Tulikuwa na somo linaitwa siasa tunafundishwa nani raisi wa nchi,baraza la mawaziri,wakuu wa mikoa majina yao tuyataje huu ni mfano tu .Ebu mwulize leo mwanafunzi kuhusu wakuu wa mikoa after 2 hrs wamebadilishwaMzee kwan mtaala wa elimu umebadilika kias hicho? 90% ya ulioyasoma na ndio hayo wanasoma tena wao yamepungua viwango. Mtihani wa mathematics wa form 2 leo hii sis ndio zilikua test za form 1.
no problem for narratives to change cz the principles remains the same , the formulars are the same sameSio kweli mkuu,sisi tulikuwa tuna cremimu mavitu hayapo tena duniani.Mimi nilitumia Abott kwenye physics which most of the science narrative has changed.
Hapa sawa, kwa siasa zetu za kijinga jinga wala hujakosea lakin the global politics in your young age are the same til now, the only thing different are the current issuesTulikuwa na somo linaitwa siasa tunafundishwa nani raisi wa nchi,baraza la mawaziri,wakuu wa mikoa majina yao tuyataje huu ni mfano tu .Ebu mwulize leo mwanafunzi kuhusu wakuu wa mikoa after 2 hrs wamebadilishwa
Science haijawahi badilika ila kuna muundelezo labda ungesema ni vipi hivyoSio kweli mkuu,sisi tulikuwa tuna cremimu mavitu hayapo tena duniani.Mimi nilitumia Abott kwenye physics which most of the science narrative has changed.Tulikuwa na somo linaitwa siasa tunafundishwa nani raisi wa nchi,baraza la mawaziri,wakuu wa mikoa majina yao tuyataje huu ni mfano tu .Ebu mwulize leo mwanafunzi kuhusu wakuu wa mikoa after 2 hrs wamebadilishwa