Nawasikitikia sana wazazi wenye vipato vya kati mnaojitesa kuwasomesha watoto wenu (Gen Z) kwenye shule za mamilioni

Kuna dogo yuko senti kayumba darasa la 4 juzi tulimuuliza kuhusiana na mathematical table , tukamwambia aimbe table ya 4 hajui, ya 2 hajui kinacho chekesha tukaja kugundua hata 1×1 ni ngapi hajui na mitihani imekaribia
 
Mleta maskini anajitia kuwa mshauri WA jinsi ya matajiri watumiaje pesa zao kuwa mamilioni Yao wapeleke wapi

Maskini toka lini akawa mshauri wa Tajiri kwenye pesa zake?

Mleta mada maskini lofa atafute pesa aachane na kujifanya mshauri WA matajiri

Hawahitaji ushauri wake
Hakuna Tajiri anayehitaji ushauri WA maskini
 
Sahihi MTU akiwa Hana hela huwa na vi theory vya ajabu ajabu vya kimaskini mfano NI.mpeta mada
Umasikini ni ugonjwa mkubwa sana ipo shule moja hapo Hwange, Zimbabwe ina gharama kubwa ila mtoto akipita hapo na wakifanya vizuri vyuo vya UK wanasomeshwa bure wakiamua kufanya kazi huko huko au SA wanalipwa hela nyingi sana ni vile watu wengi hawana Exposure wanaamini katika kuferi tu kwa sababu yeye aliferi.
 
Kuzaa si unamtia mimba mkeo tu, malezi sasa ndio hamuyawezi unaishia kumlaumu mtoto! Ulitegemea ajilee mwenyewe?
 
Sahihi kuna wazazi waba upumbavu Fulani hivi utasikia ohhh Mimi mbona nilisoma shule Hizo Hizo za kayumba nikafaulu mtasoma huko huko

Mtoto hadi unamhurumia anatoka kayumba anaenda tuition wakati shule Hizo za mamilioni walimu hujiamini wanachofundisha na huwaambia wazazi na wanafunzi kuwa NI Marufuku kwao kwenda tuition walichofundishwa shule kinatosha

Na shule asilimia 99 zinazooongoza Kwa ufaulu kitaifa katika 100 NI za private
 
Mtoto anaetakiwa kusoma hizo shule za Mamilioni ni yule ambae ana akili ya kujitambua,kinyume na hapo akasome kayumba kwenye mitaala ya skills za maisha na mapambano halisi.
 
Wazazi wengi ni wabinafsi kwa kuwa aliishi maisha mabovu anaona na mtoto wake ana haki ya kuishi hayo maisha hata kama uwezo anao pana Mzee mmoja ana itikadi hizo ana gari karibu mbili ila watoto wake wakubwa hakuna hata mmoja analigusa tena wa kiume siku aliugua mtoto wangu wa kike ndio aliwapeleka Hospital tena mdogo tu baada ya mwezi akawapeleka watoto wake wote chuo cha udereva hadi mke wake alikua anaamini kwamba wakijua kuendesha magari hawatasoma shule..
 
Kayumba mbona kama kuna matatizo ya mimba pia hadi JPM akafuta hakuna kurudi shule ukipata Mimba akapigiwa makelele na sasa hivi ni ruksa kusoma huku unanyonyesha.
 
Kuna shule moja ya gvt watoto wa advance wanaliwa na walimu wao mpka siyo poa.Yaan nikiona msichana kajiunga pale namhurumia. Nipo jirani na hiyo shule nashuhudia mambo mengi sana.
Hali si nzuri kote kote. Hali ni mbaya sana
 
B
Bora hao wenue vipato vya Kati wana hela.

Kuna mtu anaishi kwa Mikopo ya Songesha yuko bize anasomesha mtoto Shule ya MaMilioni.
S

Wana maisha magumu balaa.
 
Kuna shule moja ya gvt watoto wa advance wanaliwa na walimu wao mpka siyo poa.Yaan nikiona msichana kajiunga pale namhurumia. Nipo jirani na hiyo shule nashuhudia mambo mengi sana.
Mkuu ndio kusema wanaliwa wazi wazi na wewe unaona?
 
Hahaha
 
Kuna shule moja ya gvt watoto wa advance wanaliwa na walimu wao mpka siyo poa.Yaan nikiona msichana kajiunga pale namhurumia. Nipo jirani na hiyo shule nashuhudia mambo mengi sana.
Hali si nzuri kote kote. Hali ni mbaya
Mkuu naona umetumia zaid hisia kuliko uhalisia. Mleta mada amejaribu sana ku balance agenda yake kwa kuweka case study yake na za jiran zake.
Haimaanishi hii ni kwa kila mtu ila atleast amejaribu kuwatazamisha watu ukwel na kuwapa tahadhari.

Ni kwel kila mzazi atumie pesa zake avile anavyojisikia, well and good, ila yeye msisitizo wake ni kwa wale wazaz ambao wanajibana kisa kusomesha, hii ndio point. Kusomesha haipaswi kuwa suala la kujibana na kubangaiza, no way, somesha mtoto kwa uwezo wako,

Anazungumza na wazaz ambak unakuta mpaka anaingia mikopo kisa tu kusomesha.

Mzaz biashara zimekuyumbia ila ku maintain status unaingia lundo la mikopo kisa tu prestige. Hii sio sawa..

Mwisho wa siku, katika akil ya kawaida kabisa, kuna jambo huwa linatia mawazo, imagine mimi nimetumia millions of money kusomesha mtoto, na mwingine kasomesha shule za bure, na end of time wote mnakutana UDSM au Muhimbili, hii trial balance haijakaa sawa hata kidog. Tena wote wanakutana wakiwa na division 1.

Ndio maana mwisho wa siku ni muhimu kumjua mwanao kwanza kabla ya kuchoma gharama nyiing.
Kama mtoto ana uwezo, anaweza soma popote tu..

NB.
Probably huu ujumbe haukuhusu wewe, na aikupangii matunizi ya pesa zako
 
Ndio kinachowakuta wengi......depression wizi na utapeli
 
Mkuu kama umezaliwa na kukulia bongo mtoto wa kike kupigwa pumbu akishavunja ungo ni kawaida haswa kati ya form 2 hadi four. Wale waliolelewa na maadili sana wanatobokaga baada ya form 4. Ila kama unalea mtoto uswahilini jua chuchu zikichomoza tu lazma wakulu wapige hata akiwa la 6.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…