Nawasikitikia sana wazazi wenye vipato vya kati mnaojitesa kuwasomesha watoto wenu (Gen Z) kwenye shule za mamilioni

Ungemnukuu yeye badala yangu ingawa ulivyoandika tu unaonesha ki-unusu kasorobo.
 
Ila kama unalea mtoto uswahilini jua chuchu zikichomoza tu lazma wakulu wapige hata akiwa la 6.
Uko sahihi chief. Na hii ndio sababu ilionifanya baada tu ya kuoa na kuanzisha familia, nikaamua kuhama mjini, nilikua nakaa Temeke.
Nikaamua kujenga nje ya mjini less pupolated areas ku reduce risk za parenting challenges.

Na pia hii ndio sababu ambayo niliamua kusema wanangu wote primary schools lazima nisomeshe private, kigezo kikiwa ni pupolatiin hiyo hiyo, watoto wachache shuleni ,wachache darasani, inapunguza risk za kutowa manage.

huku nyumban ukikazana sana na malezi bora, angalau mpaka mtoto anamaliza class 7 anakua na upeo wa kujielewa.

Secondary Kayumba, malezi na usimamizi wa karibu, mengine unamuachia Mungu
 
Vidole havilingani chief, acha dhihaka. Mtu ambaye anamuhamisha mwanae kutoka private kwenda kayumba ni maamuzi yake wala haihusiani na kipato.
 
Tabia za huyo Binti shidhani kama chanzo chake ni kusoma hizo shule, ila hiyo tabia inaonekana chanzo chake ni failure ya malezi ya wazazi.

Binti mpaka anafikia huko maana yake wazazi wote wawili wamefail kwenye malezi ya Binti.
 
Kusomesha mtoto sio Bora liende .Kusomesha NI mmojawapo ya investment au uwekezaji kama ulivyo uwekezaji mwingine
Kusomesha NI kuwekeza kwenye kichwa cha mtoto ambacho ndicho injini ya maisha

Hivyo kama mtu anavyojibana kuwekeza kwenye biashara NI vizuri pia kujibana kuwekeza kwenye elimu nzuri ya mtoto

Sasa Hivi mitaani Akina mama Ntilie wanajibana kusomesha watoto chekechea nzuri mtoto unakuta anaongea lugha tatu Kwa ufasaha kiarabu,kingereza na kifaransa.Mama mwenyewe NI uswahilini anaishi chumba hakina hata umeme wala maji

Kuna maeneo hayataki mzaa Kwa mtoto la Kwanza NI elimu

Heri kuishi nyumba ya kupanga ya bei ndogo uswahilini kujibana lakini watoto wapate elimu nzuri Sana

Sasa Hivi Mzazi yeyote aulize mtoto yeyote anayesoma kayumba kuwa Kati ya shule ya kayumba na Hizo za pesa nyingi ipi angependa kusoma? Atakwambia hataki kayumba hata kama anashika nafasi ya Kwanza darasani shule ya kayumba.Watoto wanajua quality za elimu wanajua tofauti ya shule ya kayumba na Hizo zingine za private

Kutendea Haki mtoto Mzazi ajibane Tu ampeleke shule nzuri Kwa kweli

Nawapa hongera wanaojibana kuhakikisha watoto wanasoma shule nzuri hata wasipokula vizuri au kuishi pazuri Sana nyumbani Mzazi akiwaambia najibana msome shule nzuri watamwelewa sana

Mtoto anatakiwa akitoka shule awe na shukrani na Mzazi kuwa kanipeleka shule nzuri Si anarudi toka asubuhi hawajasoma walimu hawajaingia darasani na hakuna WA kuwadhibiti anarudi na hasira Kwa Mzazi na hawi na chochote cha shukrani Kwa Mzazi

Kujibana muhimu watoto wasome vizuri
 
Yah.nimekuelewa, na ni mtazami mzuri huu pia.
 
Wanaume wameanza kutafuta sababu za kutokulipa school fees. Mimi haohao GenZ kisa sisi wazazi wa generation ya yetu tulikosa mwelekea na tuka relax hatukwenda na kasi ya kwao tukajikita no direction no plan nothing. Wao sasa wako ahead of us.Sijajuta kuwapeleka shule za gharama kwani haonwa shule za gharama ndio wako composed, exposed na watatuchemsha tu .Hivyo sio wazazi ,sio serikali waliona hili linakuja ndio maana tunawashangaa Gen Z .Tuje na solution,wanachokiona mitandaoni kwa kasi hiyo hiyo tuende nao.Wewe ulikaririshwa mito,Marais,wakuu wa mikoa ,wilaya,sijui CCM yashika hatamu kwa sasa wao wanafundishwa computer ,internet, contents creation,online marketing so they have less hrs to memorize things
 
Mzee kwan mtaala wa elimu umebadilika kias hicho? 90% ya ulioyasoma na ndio hayo wanasoma tena wao yamepungua viwango. Mtihani wa mathematics wa form 2 leo hii sis ndio zilikua test za form 1.
 
Yaani baba avumilie kusoma SMS zooote izo .hapana hii ni gahawa hiii
 
Moderator naomba mu i-pin hii komenti kwenye Uzi wangu please. With much thanks in advance
 
Duh ilikuwa wapi Hiyo Mkuu? Katoto kalikuwa kanasoma English Mediums au Kayumba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…