Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elewa neno preciseMikwara mbuzi kumtishia ngedere,, mbona gaza ndani ya masaa 24 tu walijibu,, iweje kule iran mpaka leo wanambwela,, sungusungu tu wanamtoa kamasi kule gaza na Lebanon iwe jeshi kamili la iran,, kipindi cha nyuma Kuna watu walikuwa wanasema iran akithubu kurusha jiwe tu Israel basi ndo itakuwa mwisho wake, sasa mwanaume karusha makombora Dunia nzima imeona na hakuna ngedere yoyote alieleta fyoko.
Israel bila marekani ni sawa tu na uso wa babu genge la ukabaji kule kimara bonyokwa.
Toka Taifa lilipoanzishwa 1948,adui yenu Irani yupo na mnamwangalia na hamjawahi mfanya kitu,pamoja na kusapitiwa na USA & UKUkiona hivyo, ujue mitego ya muisrael ya kulipa kisasi Iran ilishategwa miaka mingi sana, walikua wanasuburi Iran ajichanganye. Tusubiri, ni sual la uamuzi tu ila kitakachowakuta naamin hakuna kombora litarushwa kutoka Israel, moto utawawakia ndani kwa ndani
Mkuu hawa tumbili bendera fuata upepo kuwaelewa ni kazi ngumu mno.Mikwara mbuzi kumtishia ngedere,, mbona gaza ndani ya masaa 24 tu walijibu,, iweje kule iran mpaka leo wanambwela,, sungusungu tu wanamtoa kamasi kule gaza na Lebanon iwe jeshi kamili la iran,, kipindi cha nyuma Kuna watu walikuwa wanasema iran akithubu kurusha jiwe tu Israel basi ndo itakuwa mwisho wake, sasa mwanaume karusha makombora Dunia nzima imeona na hakuna ngedere yoyote alieleta fyoko.
Israel bila marekani ni sawa tu na uso wa babu genge la ukabaji kule kimara bonyokwa.
Kabobo za nini,wapige siye tushangilieLeo Tehran kuliwaka Moto baada ya kusambaa uvumi kuwa Israel imepenyeza hit man WA ajili ya kufanya mauaji ya kiongozi mkubwa.
Source: CNN ya USA,( kwa watazamaji wa USA)
Iran alishaweka wazi, wakipiga watapigwa mara bukuUkiona hivyo, ujue mitego ya muisrael ya kulipa kisasi Iran ilishategwa miaka mingi sana, walikua wanasuburi Iran ajichanganye. Tusubiri, ni sual la uamuzi tu ila kitakachowakuta naamin hakuna kombora litarushwa kutoka Israel, moto utawawakia ndani kwa ndani
View attachment 3120223
Israeli retaliation against Iran will be ‘lethal, precise and surprising’: Minister
Reuters
Published: 09 October ,2024: 09:40 PM GSTUpdated: 09 October ,2024: 09:43 PM GS
Israeli Defense Minister Yoav Gallant appeared on Wednesday to say that retaliation against Iran for its missile attack will be “lethal, precise and surprising,” in a video published on Israeli media on Wednesday.
After describing Iran’s Oct. 1 missile attack as a failure, Gallant said: “Whoever attacks us will be hurt and will pay a price. Our attack will be deadly, precise and above all surprising, they will not understand what happened and how it happened, they will see the results,” he said.
Kila adui wa Israel ana kipimo chake alichowekewa na Israel!Mikwara mbuzi kumtishia ngedere,, mbona gaza ndani ya masaa 24 tu walijibu,, iweje kule iran mpaka leo wanambwela,, sungusungu tu wanamtoa kamasi kule gaza na Lebanon iwe jeshi kamili la iran,, kipindi cha nyuma Kuna watu walikuwa wanasema iran akithubu kurusha jiwe tu Israel basi ndo itakuwa mwisho wake, sasa mwanaume karusha makombora Dunia nzima imeona na hakuna ngedere yoyote alieleta fyoko.
Israel bila marekani ni sawa tu na uso wa babu genge la ukabaji kule kimara bonyokwa.
Yaani Israel kuna watu wanaitikadi kali hadi naogopa.View attachment 3120223
Israeli retaliation against Iran will be ‘lethal, precise and surprising’: Minister
Reuters
Published: 09 October ,2024: 09:40 PM GSTUpdated: 09 October ,2024: 09:43 PM GS
Israeli Defense Minister Yoav Gallant appeared on Wednesday to say that retaliation against Iran for its missile attack will be “lethal, precise and surprising,” in a video published on Israeli media on Wednesday.
After describing Iran’s Oct. 1 missile attack as a failure, Gallant said: “Whoever attacks us will be hurt and will pay a price. Our attack will be deadly, precise and above all surprising, they will not understand what happened and how it happened, they will see the results,” he said.
Rehema za Mwenyezi Mungu ziwe pamoja naye kipenzi chetu Imaam Hussein ibn Ali.Sasa hivi siyo Allah na Mudi waoga kama nini. Wamewaingiza mkenge wamekula kona na kuzama chaka.
Sasa hivi ni mkombozi waislam na uislamu siyo mwengine bali ni kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein ibn ali A.S kupitia yeye tumepewa Tawfiq/Tawfeek (the ability and opportunity to succeed) na tuna uhakika wa jannah na firdaus.
Azidi kufanyiwa wepes na aendelee kupewa qauli thabeet.
Mcheki hapo chini kipenzi chetu cha dhati mkombozi wa waislam na uislamu Imaam Hussein Ibn Ali the grandson of the prophet, the son of Ali prophet's cousin, the son of Fatma the daughter of the prophet, the brother to Hassan and father of Imaam Ali A.S peace be upon him maamaee!
View attachment 3120249
Nyonzo bin mvule
Nyau de adriz
Huyu Gallant keshaanza kunipa wasiwasi maana kuongea kwingi sio kawaida ya watoa roho kabisa.Our attack will be
deadly, precise and above all surprising, they will not understand what happened and how it happened, they will see the results,”
... in fact, not all will see the results as Nasrallah doesn't and will never know what happened!Our attack will be
deadly, precise and above all surprising, they will not understand what happened and how it happened, they will see the results,”
Hayatola atakuwa kaingia shimo la panya au kakimbilia kwa majirani wao.
View attachment 3120223
Israeli retaliation against Iran will be ‘lethal, precise and surprising’: Minister
Reuters
Published: 09 October ,2024: 09:40 PM GSTUpdated: 09 October ,2024: 09:43 PM GS
Israeli Defense Minister Yoav Gallant appeared on Wednesday to say that retaliation against Iran for its missile attack will be “lethal, precise and surprising,” in a video published on Israeli media on Wednesday.
After describing Iran’s Oct. 1 missile attack as a failure, Gallant said: “Whoever attacks us will be hurt and will pay a price. Our attack will be deadly, precise and above all surprising, they will not understand what happened and how it happened, they will see the results,” he said.
Ha ha ha! Nimekumbuka kile kishindo cha Washami! Fear of the unknown.Hapa Kuna Hofu Kuu..Tehran...
Si wananchi..si Viongozi na si wanajeshi
Naogopa hilo neno precisely!
Sio kwa hawa mafalla Jews, tusubirie na tuombe uzima, leo usiku kutakucha salama?Ukiona maneno mengi ujuwe hakuna jipya
Nakumbukia ile speech ya PM Netanyah pale UN, siku ile ile alipohutubia, Na siku hiyo hiyo Nasra, akauwawaView attachment 3120223
Israeli retaliation against Iran will be ‘lethal, precise and surprising’: Minister
Reuters
Published: 09 October ,2024: 09:40 PM GSTUpdated: 09 October ,2024: 09:43 PM GS
Israeli Defense Minister Yoav Gallant appeared on Wednesday to say that retaliation against Iran for its missile attack will be “lethal, precise and surprising,” in a video published on Israeli media on Wednesday.
After describing Iran’s Oct. 1 missile attack as a failure, Gallant said: “Whoever attacks us will be hurt and will pay a price. Our attack will be deadly, precise and above all surprising, they will not understand what happened and how it happened, they will see the results,” he said.
Unadhani Tehran kama Nairobi Tehran maisha yanaendelea vyema kabisa kwawananchi wala hawana Habari kama mzayuni alipelekewa motoHapa Kuna Hofu Kuu..Tehran...
Si wananchi..si Viongozi na si wanajeshi
Naogopa hilo neno precisely!