Nawasilimu kwa jina la Yoav Gallant. Ayatollah sijui yupo shimo gani sasa hivi

Elewa neno precise
 
Toka Taifa lilipoanzishwa 1948,adui yenu Irani yupo na mnamwangalia na hamjawahi mfanya kitu,pamoja na kusapitiwa na USA & UK
 
Mkuu hawa tumbili bendera fuata upepo kuwaelewa ni kazi ngumu mno.

Kabla Iran hajaishushia kipondo kikali Israel makondoo ya bwana yalikuwa yanasema Iran akithubutu kurusha hata jiwe tu ndani ya ardhi ya Israel basi atakuwa ameingia kwenye mfumo waliokuwa wanasubiri mabeberu.

Cha ajabu kidume halisi cha mashariki ya kati kikarusha drones na makombora yasiyo na idadi kuzichakaza vibaya kambi za kijeshi za Mazayuni bila huruma lakini waliufyata hadi leo.
 
Iran alishaweka wazi, wakipiga watapigwa mara buku
 

Hayatola atakuwa kaingia shimo la panya au kakimbilia kwa majirani wao.
 
Kila adui wa Israel ana kipimo chake alichowekewa na Israel!
 
Yaani Israel kuna watu wanaitikadi kali hadi naogopa.

Unaambiwa kuna huyo Waziri wa mambo ya Ndani, aliwahi kwenda Kwenye lile hakalu lao akataka aingie ndani ikabidi Netanyahu amzuie
 
Rehema za Mwenyezi Mungu ziwe pamoja naye kipenzi chetu Imaam Hussein ibn Ali.
 
Our attack will be
deadly, precise and above all surprising, they will not understand what happened and how it happened, they will see the results,”
Huyu Gallant keshaanza kunipa wasiwasi maana kuongea kwingi sio kawaida ya watoa roho kabisa.
 
Your browser is not able to display this video.


God Bless Israel
 
Sasa nimepata picha kamili kwamba,Ile ndege ilivyo mbeba Rais wa Iran na kupiga chini ni Israel ili husika maana hata Mimi najiuliza maswali mengi, how comes?
 
Nakumbukia ile speech ya PM Netanyah pale UN, siku ile ile alipohutubia, Na siku hiyo hiyo Nasra, akauwawa

Isije kuwa speech hii ikawa ndiyo yaleyalee..!

Kesho mnaamka mnapata habari za kiongozi mkubwa wa Iran yuko kwa allah akila zake bikira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…