Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pepe ni demu wangu kwa sasa mkuu, anaishi Kimara mwisho. Niambie Shemeji?Mi namtafuta Perpetua Kisoka, Alisoma Makongo secondary
Hakumaliza pale..alihama 1992 akiwa form 2
Mmoja nmefanikiwa kumpata kupitia kwa Jamaa ambaye amesoma hii thread.
Ndio maana sijitokwzi hata waje Pm sitawajibu maana hawajasema ni akina nani?Huu ujasiri wa kuandika majina ya watu hapa mnautoa wapi wakati yenu mmehide.!?
YaaaBulima ya Nassa Magu?
Mi nmepga pale sya
2013Mwaka gani
Mesoma hadi mwisho, sijaona anayenitafuta!
Sangu na Pandahill[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ninetetemeka hapa..dah .unamfahamu Mirambo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]!alikua brazamen hatari..am sure nikienda hom nikifukua pics ntaona picha yake[emoji1787][emoji1787]!..enzi zile Phss ni fayaa!_[emoji1787][emoji1787][emoji1787]!maisha haya!