Nawatafuta watu hawa kwa udi na uvumba. Zawadi nono itatolewa msimu huu wa sikukuu

Nawatafuta watu hawa kwa udi na uvumba. Zawadi nono itatolewa msimu huu wa sikukuu

kaka unakumbuka enzi la disko la dj mposo pale bwalo old daamn good days
 
daaaa umenikumbusha mbali niliachaga wali kwenye loka nikaenda prepo mdau mmoja akatenyua mlango akapita na wali wangu maharage siku hiyo kiliwaka bweni zima daaa
 
Sodoku,
Mkuu we unatafuta wadada tu? Okay ni utani tuyaache hayo nadhani hauna connection hapa town bro.. Hayo majina mpatie mtu anayefanya kazi NIDA, au TRA lakini yawe matatu atakupa namba zao za simu utawapata. Angalizo hii njia ni kama una uhakika hao watu hawakufeli maisha namaanisha kama hawajawai agiza hata IST itakuwa ngumu pia.

Kila la Kheri.
 
Inamaana miaka ya 1980 wewe unafanya kazi n.a. umeenda likizo.
KWA muda huu una unit gani.
Basi wee ni gasigwaho!!!!!
 
Mesoma hadi mwisho, sijaona anayenitafuta!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ninetetemeka hapa..dah .unamfahamu Mirambo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]!alikua brazamen hatari..am sure nikienda hom nikifukua pics ntaona picha yake[emoji1787][emoji1787]!..enzi zile Phss ni fayaa!_[emoji1787][emoji1787][emoji1787]!maisha haya!
Sangu na Pandahill
 
Back
Top Bottom