Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
>Waliokuwa wagonga kengele (Time keeper)
>Waliokuwa wanaweka mashati yao blue
>Walionyoosha mashati mzingo mstastili kwa nyuma[emoji1787][emoji1787]
>Waliokuwa wapandisha Bendera
>Waliokuwa Monitor na monitress
>Bila kumsahau yule dada nlikaa nyuma yake kwenye mstari akafunga breki ghafla akasema nimembashia[emoji1][emoji1], nikala fimbo kama za RC Mbeya
>Wale tulipinga "hakiombeki"
Tuma salamu zako kwa wale ulisoma nao Primary
Hizo hapo juu zote nilizifanya / zilinihusu kwa nyakati tofauti tofauti....
Wakumbukwe WUTAMBA, AZAJANGWA, JIITEWUTE...
Na wale wote waliokuwa wanaacha chata za majina yao kwenye madaladala hasa siti za nyuma na kwenye kuta za darasa.