nawatakia maisha marefuu yenye furaha tele...

nawatakia maisha marefuu yenye furaha tele...

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Mungu awabariki nyote mpendanao

current_fatgirl_fg.jpg
 
kumbe wa ndani ya ndoa?
Acha ubaguzi bana. wengine wanaishi kwenye ndoa, lakini huwezi ita ndoa, mana tumewekana tu ndani sio ya ndoa ya dini wala ya jadi/kimila wala ya serikali.
 
kumbe wa ndani ya ndoa?
Acha ubaguzi bana. wengine wanaishi kwenye ndoa, lakini huwezi ita ndoa, mana tumewekana tu ndani sio ya ndoa ya dini wala ya jadi/kimila wala ya serikali.

hamna tatizo mkuu.hata wewe nakutakia maaisha mareefu yenye furaha.ngoja nikueditie mkuu.mia
 
Mi sioni ndoa hapo,
dada katia gagulo la kulalia,
jamaa ndo karudi kutoka night club katia manguo yale yale aliyoshindia,
hivi kweli kuna ndoa hapa, naomba jibu.
 
Mi sioni ndoa hapo,
dada katia gagulo la kulalia,
jamaa ndo karudi kutoka night club katia manguo yale yale aliyoshindia,
hivi kweli kuna ndoa hapa, naomba jibu.


Mie picha nilopata ni hii...

Dada kategea mida ambayo Mupenzi anarudi (Unaona shati ni ya kazi sio ya clubbing) kaanda kila kitu i.e chakula mezani, kenda kuoga na kuvaa gagulo lenye mitego (yawezekana alikua horny akaona afanye kwa vitendo); akijua fika akili ya jamaa kua hataweza resist. Well baada ya jamaa kumuona (nina wasi wasi hata kama chakula kimelika) wamevamiana na kufanya aggressive exciting sex (hapa hata nguo sometimes kutoa si muhimu) baada ya kumaliza ghafla wamejikuta hawana energy... Hivo hapo binti karidhika kiusingizi champitia, the guy akianza kutafakari jinsi gani anyanyuke.. after all ana njaa hajala bado....lol
 
Mie picha nilopata ni hii...

Dada kategea mida ambayo Mupenzi anarudi (Unaona shati ni ya kazi sio ya clubbing) kaanda kila kitu i.e chakula mezani, kenda kuoga na kuvaa gagulo lenye mitego (yawezekana alikua horny akaona afanye kwa vitendo); akijua fika akili ya jamaa kua hataweza resist. Well baada ya jamaa kumuona (nina wasi wasi hata kama chakula kimelika) wamevamiana na kufanya aggressive exciting sex (hapa hata nguo sometimes kutoa si muhimu) baada ya kumaliza ghafla wamejikuta hawana energy... Hivo hapo binti karidhika kiusingizi champitia, the guy akianza kutafakari jinsi gani anyanyuke.. after all ana njaa hajala bado....lol
Ooops..ni muda wa kazi huu AshaDii, hii mambo ilete jioni bana!
 
Mie picha nilopata ni hii...

Dada kategea mida ambayo Mupenzi anarudi (Unaona shati ni ya kazi sio ya clubbing) kaanda kila kitu i.e chakula mezani, kenda kuoga na kuvaa gagulo lenye mitego (yawezekana alikua horny akaona afanye kwa vitendo); akijua fika akili ya jamaa kua hataweza resist. Well baada ya jamaa kumuona (nina wasi wasi hata kama chakula kimelika) wamevamiana na kufanya aggressive exciting sex (hapa hata nguo sometimes kutoa si muhimu) baada ya kumaliza ghafla wamejikuta hawana energy... Hivo hapo binti karidhika kiusingizi champitia, the guy akianza kutafakari jinsi gani anyanyuke.. after all ana njaa hajala bado....lol

hapo hata nanilii hawakukumbuka
 
Back
Top Bottom