LoyalTzCitizen
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,241
- 940
hhaaaaaaaaa????kweli loyal.....yaaa raaab!!!!! Natoka asante humu uwanja wa dhambi hamnifai i thank u my dear!!!
Maneno haya yamenikuna kwenye sakafu wa moyo wangu.....! Basi naomba usichelewe kuja kunichukua....!ntakujakuchukua baadae sweat heart
Mh....!!!!!!!!!!!!.................???????????????kuna hair removal moja ,inaitwa nair ni nzuri sana,unajipaka kidogo tu,baada ya dakika kama 5 unachukua kitambaa unakitia maji,unafuta hiyo sehemu.nywele zote za uwani zinatoka,mimi natumia sana tu kutoa hizo nywele.na hata kwenye kwapa,huna haja ya kutumia viwembe.kwapa linakuwa safi na smooth
kuna hair removal moja ,inaitwa nair ni nzuri sana,unajipaka kidogo tu,baada ya dakika kama 5 unachukua kitambaa unakitia maji,unafuta hiyo sehemu.nywele zote za uwani zinatoka,mimi natumia sana tu kutoa hizo nywele.na hata kwenye kwapa,huna haja ya kutumia viwembe.kwapa linakuwa safi na smooth
Mh....!!!!!!!!!!!!.................???????????????
Nguli una maana gani????????????SAME HERE
Mh!mbona ueleweki?kuwa wazi!!
kuna hair removal moja ,inaitwa nair ni nzuri sana,unajipaka kidogo tu,baada ya dakika kama 5 unachukua kitambaa unakitia maji,unafuta hiyo sehemu.nywele zote za uwani zinatoka,mimi natumia sana tu kutoa hizo nywele.na hata kwenye kwapa,huna haja ya kutumia viwembe.kwapa linakuwa safi na smooth