Nawaza 2025 slogan ya mgombea CCM sijui itakuwaje!

Nawaza 2025 slogan ya mgombea CCM sijui itakuwaje!

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Tena akiwa mama Abdul sijui atakuja na ipi na vile katoka ukanda wa mipasho itakuwa kivumbi tupu!.

Ugumu unakuja taswira alioitengeneza watu sahivi wanaona hafanyi Yale aliyokuwa akiyafanya mtangulizi wake,ambapo aliurithi ule usemi wa "hapa kazi tu" nakuuita "kazi iendelee".

Hapo kwenye kazi iendelee Kila mtu na vile awazavyo.

Sijui kwenye kabati la misimu watakuja na lipi hiyo 2025,nahisi itakuwa ngumu mno kujipambanua si kazi rahisi but all in all tulambeni asali...😋
 
Amka usingizini wewe maana naona unaota na kuja kujiandikia tu hapa.kazi aliyoifanya Rais samia ndani ya muda mfupi haipimiki katika mzani wa aina yoyote ile ,kuanzia katika Elimu,Afya,kilimo, miundombinu, Uchumi,ajira kwote huko ni Tabasamu na matumaini katika mioyo ya watu.

Kwa hakika mama amewafikia watanzania wote
 
Tena akiwa mama Abdul sijui atakuja na ipi na vile katoka ukanda wa mipasho itakuwa kivumbi tupu!.

Ugumu unakuja taswira alioitengeneza watu sahivi wanaona hafanyi Yale aliyokuwa akiyafanya mtangulizi wake,ambapo aliurithi ule usemi wa "hapa kazi tu" nakuuita "kazi iendelee".
Hapo kwenye kazi iendelee Kila mtu na vile awazavyo.

Sijui kwenye kabati la misimu watakuja na lipi hiyo 2025,nahisi itakuwa ngumu mno kujipambanua si kazi rahisi but all in all tulambeni asali...😋
Usifikirie sana maana anguko la ccm ni kupitia huyu mama

Kila anachofanya anazingua na kuta zinazidi kubomoka kwa kasi
 
Mgao wa umeme umeisha Hadi uwaze 2025?
Habari za mgao wa umeme ni changamoto ambazo zinaendelea kufanyiwa kazi na serikali yetu usiku na mchana,,ndio maana unaona makali yanaendelea kupungua siku hadi siku.
 
Tena akiwa mama Abdul sijui atakuja na ipi na vile katoka ukanda wa mipasho itakuwa kivumbi tupu!.

Ugumu unakuja taswira alioitengeneza watu sahivi wanaona hafanyi Yale aliyokuwa akiyafanya mtangulizi wake,ambapo aliurithi ule usemi wa "hapa kazi tu" nakuuita "kazi iendelee"...
Ngoja tuone!2025,Nitakuwa nimeanza kulipwa pension yangu55miaka.Mungu tujaalie tuyaone Haya!
 
Back
Top Bottom