Nawaza 2025 slogan ya mgombea CCM sijui itakuwaje!

Nawaza 2025 slogan ya mgombea CCM sijui itakuwaje!

Kasi ya uchumi wetu ni kubwa sana ambapo mahitaji ya umeme yanaongezeka na kupelekea upungufu wa umeme.Hata hivyo muda siyo mrefu tatizo hilo litabaki historia pale ambapo uzalishaji wa umeme kupitia bwawa la mwalimu Nyerere utakapoanza.
Mama Abdu angekuwa mzalendo kama wewe mgao wa umeme usingekuwepo
 
Kasi ya uchumi wetu ni kubwa sana ambapo mahitaji ya umeme yanaongezeka na kupelekea upungufu wa umeme.Hata hivyo muda siyo mrefu tatizo hilo litabaki historia pale ambapo uzalishaji wa umeme kupitia bwawa la mwalimu Nyerere utakapoanza.
Blah blah tu hizo

Ova
 
Tena akiwa mama Abdul sijui atakuja na ipi na vile katoka ukanda wa mipasho itakuwa kivumbi tupu!.

Ugumu unakuja taswira alioitengeneza watu sahivi wanaona hafanyi Yale aliyokuwa akiyafanya mtangulizi wake,ambapo aliurithi ule usemi wa "hapa kazi tu" nakuuita "kazi iendelee".

Hapo kwenye kazi iendelee Kila mtu na vile awazavyo.

Sijui kwenye kabati la misimu watakuja na lipi hiyo 2025,nahisi itakuwa ngumu mno kujipambanua si kazi rahisi but all in all tulambeni asali...😋
Tanzania bila bandarini, inawezekana.
 
Tena akiwa mama Abdul sijui atakuja na ipi na vile katoka ukanda wa mipasho itakuwa kivumbi tupu!.

Ugumu unakuja taswira alioitengeneza watu sahivi wanaona hafanyi Yale aliyokuwa akiyafanya mtangulizi wake,ambapo aliurithi ule usemi wa "hapa kazi tu" nakuuita "kazi iendelee".

Hapo kwenye kazi iendelee Kila mtu na vile awazavyo.

Sijui kwenye kabati la misimu watakuja na lipi hiyo 2025,nahisi itakuwa ngumu mno kujipambanua si kazi rahisi but all in all tulambeni asali...😋
Watakuja na brainwashing slogan nyingine!!
 
Back
Top Bottom