Watakuja na "Kila mtu anastahili heshima na kuthaminiwa utu wake"Sijui kwenye kabati la misimu watakuja na lipi hiyo 2025
Ikiwa wanataka kubaki madarakani hawawezi uthubutu kuja na hiyo sloganItakuwa "DP World oyee"
Usifikirie sana maana anguko la ccm ni kupitia huyu mamaTena akiwa mama Abdul sijui atakuja na ipi na vile katoka ukanda wa mipasho itakuwa kivumbi tupu!.
Ugumu unakuja taswira alioitengeneza watu sahivi wanaona hafanyi Yale aliyokuwa akiyafanya mtangulizi wake,ambapo aliurithi ule usemi wa "hapa kazi tu" nakuuita "kazi iendelee".
Hapo kwenye kazi iendelee Kila mtu na vile awazavyo.
Sijui kwenye kabati la misimu watakuja na lipi hiyo 2025,nahisi itakuwa ngumu mno kujipambanua si kazi rahisi but all in all tulambeni asali...😋
Mama Amekufikia Ulipo. sema usikilizwe."Kwa sauti moja,kazi iendelee!"
CCM Ni imara sana chini ya Rais samia.Taifa ni imara na lenye nguvu chini ya uongozi wake.Usifikirie sana maana anguko la ccm ni kupitia huyu mama
Kila anachofanya anazingua na kuta zinazidi kubomoka kwa kasi
Habari za mgao wa umeme ni changamoto ambazo zinaendelea kufanyiwa kazi na serikali yetu usiku na mchana,,ndio maana unaona makali yanaendelea kupungua siku hadi siku.Mgao wa umeme umeisha Hadi uwaze 2025?
Ngoja tuone!2025,Nitakuwa nimeanza kulipwa pension yangu55miaka.Mungu tujaalie tuyaone Haya!Tena akiwa mama Abdul sijui atakuja na ipi na vile katoka ukanda wa mipasho itakuwa kivumbi tupu!.
Ugumu unakuja taswira alioitengeneza watu sahivi wanaona hafanyi Yale aliyokuwa akiyafanya mtangulizi wake,ambapo aliurithi ule usemi wa "hapa kazi tu" nakuuita "kazi iendelee"...
Acha kuandika vitu kwa kuropoka tu.laana ya kumroga JPM itammaliza!!
Mbona hujataja umeme?kuanzia katika Elimu,Afya,kilimo,
Mama Abdu angekuwa mzalendo kama wewe mgao wa umeme usingekuwepoHabari za mgao wa umeme ni changamoto ambazo zinaendelea kufanyiwa kazi na serikali yetu usiku na mchana,,ndio maana unaona makali yanaendelea kupungua siku hadi siku.
Kasi ya uchumi wetu ni kubwa sana ambapo mahitaji ya umeme yanaongezeka na kupelekea upungufu wa umeme.Hata hivyo muda siyo mrefu tatizo hilo litabaki historia pale ambapo uzalishaji wa umeme kupitia bwawa la mwalimu Nyerere utakapoanza.Mama Abdu angekuwa mzalendo kama wewe mgao wa umeme usingekuwepo
Hakuna mwenye uwezo wala ubavu wa kushindana na Rais samia katika sanduku la kura.Bi tozo 2025 akijichanganya watamla kichwa shwaaa
Wewe kataa tu dalili zote zi wazi! hujaona tu wewe kipofu!??Acha kuandika vitu kwa kuropoka tu.