kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,780
Atamsifia Samia kwamba kaimarisha demokrasia na kwamba kaleta haki za binadamu na karuhusu upinzani kufanya mikutano. Samia atavimba kichwa na kufurahi kusifiwa na makamu wa rais wa Marekani kumbe wananchi shida yao ni uchumi. Kamalla atapiga vijembe awamu ya tano na kujidai hali ya Tanzania sasa ni nzuri.
Kamala Atatangaza misaada ambayo ukichunguza in substance hela zinaenda kuliwa tu na vigogo tu. Ni kama anakuja kutoa rushwa kwa viongozi wetu.
Utasikia dola laki kadhaa kuimarisha ufuatiliaji wa usimamizi wa utafiti kuhusu kuimarisha umeme nchini. Hapo hola hakuna kitu. Hela za night safari za Ulaya na kulipia mahoteli. Vigogo tu ndio wanakula misaada ya wamarekani. Hapo bado component ya washauri kutoka Marekani.
Kila la kheri ushirikiano wa Samia na kamala Harris😆😎
Kamala Atatangaza misaada ambayo ukichunguza in substance hela zinaenda kuliwa tu na vigogo tu. Ni kama anakuja kutoa rushwa kwa viongozi wetu.
Utasikia dola laki kadhaa kuimarisha ufuatiliaji wa usimamizi wa utafiti kuhusu kuimarisha umeme nchini. Hapo hola hakuna kitu. Hela za night safari za Ulaya na kulipia mahoteli. Vigogo tu ndio wanakula misaada ya wamarekani. Hapo bado component ya washauri kutoka Marekani.
Kila la kheri ushirikiano wa Samia na kamala Harris😆😎