Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,175
- 4,299
Soda ni ishu hivyo Kenya?
Dah ni hatariSio soda tuu hata bia mzee chupa moja yabia 500ml au 350ml n Kati ya Ksh 200/= mpaka 220/= (Tsh 4,200 mpaka 4,500/=) kwa chupa moja ya bia.
Ndio Mana wakenya waishio mpaka wa Tanzania huenda kula Nyama na bia Tanzania na kurudi Kenya wakiwa wamelewa vizuri kwabei nafuu.
Kifupi mipaka yetu na Kenya kwa watu wenye kipato Cha kawaida Hadi chini huwa inabidi kila Jambo lake la kula na kunywa anahakikisha analipatia upande wa Tanzania.
Dah ni hatari
Kiufupi bia inayouzwa cheap Kenya Kwa sasa n taska 170ksh = tsh 3500Sio soda tuu hata bia mzee chupa moja yabia 500ml au 350ml n Kati ya Ksh 200/= mpaka 220/= (Tsh 4,200 mpaka 4,500/=) kwa chupa moja ya bia.
Ndio Mana wakenya waishio mpaka wa Tanzania huenda kula Nyama na bia Tanzania na kurudi Kenya wakiwa wamelewa vizuri kwabei nafuu.
Kifupi mipaka yetu na Kenya kwa watu wenye kipato Cha kawaida Hadi chini huwa inabidi kila Jambo lake la kula na kunywa anahakikisha analipatia upande wa Tanzania.
Konyag za Kenya n fake Achana nazoAzam inapendwa Sana Kenya Cha ajabu sijawahi kuona chuma ya bakrhesa ikiwa inaenda Kenya najiuliza labda anasafirisha kwa meli mpaka Mombasa ndo zinaingia Ila kiuhalisia Azam energy drink, konyagi, k vant ndo vinywaji vinavyopendwa kuliko ambavyo n Mali ya Tz hvyo ukiviingiza Kenya Mambo mswano tuu
Konyag Yao ukiigusa huwez maliza hataIdea nzuri, wacha nitatafiti. Je vip kuhusu energy drinks coz huku naona wanapenda sana kunywa hizo tena Azam energy ndio usiseme wanaipenda sana, Hadi Kuna mtu aliniambia kwamba wanaitengenezea huku huku kimagumashi na sticker inasoma inatoka Bongo Yani ni kama wanavyofanya kwenye Konyagi,
Konyagi Og inatoka Tanzania ila huku wanayakwao ambayo wanatengeneza wenyewe ila label inasoma Dar es salaam Tanzania na ukizinywa zote 2 taste ni tofauti
Sasa hili la Azam energy Sina uhakika kama kweli na hii wanaichakachua kwasababu naziona nyingi sana huku japokuwa na wao wana Energy drinks zao nzuri kama Play na Predator,...So nataka nitaste na Mo Extra kama watazikubali coz sijaziona kabisa hukuView attachment 1929708View attachment 1929709
Vimepigwa ban maziwa hayaingii.?Namba uliopiga umepigwa
Sasa nimekuuluza ili unipe uhakika wa unachosema Sasa habari za 2015 na umeambiwa hzo vitu vilipigwa ban Sasa n 2021.
Yan mtanzania n tabu sana
Kenya chupa ndogo ya soda ni 330ml na inauzwa Kshs. 30. That's Tshs. 600Maziwa kuingia tz n inshu Kuna watu huwa wanapita nayo pale kwa kuyaficha ilihali mizigo mingine wanalipia Kodi Kama kawaida.
Soda Kenya zipo Ila ujazo kidogo bei Mara mbili ya ujazo wa huku kwa chupa moja mfano huku 200ml za Coca-Cola kwanza, Nyanza bottling & Bonnite bottles unanunua wholesale around Tsh 350/= Hadi 400/= (Ksn 16 -20) Wakati chupa ya Kenya nafkir n 250ml unanunua wholesale around Ksh 40-45 (Tsh 848-920)
Mku hbr.Hapa majuzi nilirudi Tanzania (huwa nakaa Nairobi Utawala) nilienda Arusha pamoja Singida, sasa nilivyofika sehemu hizo nikawa natafuta maziwa fresh madukani, nilizunguka sana hadi kuyapata na niliyapata kwa bei kubwa sana nikilinganisha price ya Nairobi
So nikaja kugundua Nairobi wana maziwa mazuri sana na ni cheap lakin Tz maziwa pia ni mazuri lakin ni expensive sana sijui hii ndio inasabaisha watu hawakunywi maziwa kwa wingi Tz, coz pack ya 500 ml Tz inafika Hadi 2500 Tsh /= (kwa bei ya Singida) wakati Kenya maziwa yenye ujazo huo huo yanauzwa Ksh50/= sawa na elfu moja ya Tz (Tsh1000/=)
Hili jambo limenifanya niwaze kufanya Biashara ya maziwa ya Brookside niwe nayatoa Kenya na kuleta Tanzania, ila Kabla sijachukua uamuzi huo nimeona nilete huu mjadala hapa at least nipate ushauri na maoni kutoa kwa wadau
Asanteni
View attachment 1926289View attachment 1926291View attachment 1926292
Kweli kabisa kwani mm nauza mitaani na hiyo mitaani nikitoka saa kumi mbili asubuhi mpaka saa tatu kuna siku nakuwa nimeshamaliza lita 40 na zaidi bado oda za mchana.Ni wazi zuri ila wabongo wengi huwa hawapendi maziwa yaliyofungashwa na kuwekewe presevatives.
Wengi wao ni wanawake wanaonunua maziwa kwa ajili ya watoto wachanga hawataki hayo ya box kabisa.
Kwa hiyo wapo wengi tu wanaouza maziwa freshi huku mitaani.
Kiangazi ni kugumu sanaIna maana Tz hakuna maziwa mpaka utuletee ya kenya?
Kipindi cha Jk hawa brookside walikuwa na milk collection centers mpaka maeneo ya west Kilimanjaro especially Siha. Awamu ya tano zikayeyuka zote.Haya ni maziwa ya mzee mzima Kenyata kipindi cha magufuli yalipigwa marufuku ili kuwapa platform akina Asas,Bkharesa ,Kilimanjaro,Tanga fresh na wengine.Maajabu ni kuwa haya maziwa yananunuliwa Longido yanasafirishwa hadi kenya wanayapack then tunarudishiwa tunauziwa bei juu.
Tozo za kuingiza maziwa kutoka nje ya nchi ziliongezwa kwa asilimia 1200 mwaka 2018 sasa ajichanganye akamatwe nayo mpakanišMbona maziwa yapo mengi sana ila ni fresh kutoka kwenye zizi la ng'ombe.
Nadhani kabla haujaleta mzigo kwa kutazama bei pia ungejielimisha kwann bei ina paa tz kuliko huko, maana kuna wazee wa tozo, hawa jamaa wanamsururu wa vitozo ambavyo sijui vilitungwa kwa akili gani na ndivyo vinafanya bei kuwa kubwa.
Kuna siku nilienda Kenya border, tulikuwa wawili. Tukanunua soda 2 halafu tukawapa Tsh 10,000.Kenya chupa ndogo ya soda ni 330ml na inauzwa Kshs. 30. That's Tshs. 600
Kuna siku nilienda Kenya border, tulikuwa wawili. Tukanunua soda 2 halafu tukawapa Tsh 10,000.
Waliturudishia change Ksh 350 ambayo tulipobadili tukapata Tsh 7,000.
Kwahiyo nadhani zile soda ni Buku buku. Ambayo ni ksh 50 kwa chupa
Sikumbuki, but ni Fanta nyeusiChupa size gani?