Moja ya mkakati unaotumiwa sana ni kutumia njia ya kujiweka mbali ili adui yako hasikufikirie zaidi. Na kwa ujumla mkakati huu nawaza pengine unatumiwa na vyama vya upinzani kuizubaisha CCM wanavyomchukulia Hayati Magufuli. Kama ndivyo basi CCM.
Machoni mwa wengi sana Hayati Magufuli ni shujaa anayeishi na pengine ndio ataamua Rais anayefata awe nani. Hivyo ni kitendo cha kusema turufu walizonazo wagombea iwe wa CCM au UPINZANI 2025 na 2030 ni JPM.
Sifirii kabisa Upinzani licha ya kutambua uwezo wa JPM katika kuamua matokeo katika chaguzi kuu zijazo wamedhamiria kumkebehi JPM bila kuwa na 'backup plan'.
Na hii ndio nafikiria ndio itakuwa 'backup plan' ya upinzani kwamba:
i) Kujifanya hawakumbali JPM
ii) Kuwaaminisha watanzania JPM si lolote si chochote.
iii) Kutumia majukwaa kumsema JPM ili CCM waamini.
iv) Baadae kumtumia JPM kama turufu muda ambao wengi hawataamini.
Kama huu ndio mpango wao basi hali itakuwa mbaya kwa CCM ikizingatiwa JPM anaonekana kwa wengi ni shujaa aliyefia vitani na upanga mkononi.
Machoni mwa wengi sana Hayati Magufuli ni shujaa anayeishi na pengine ndio ataamua Rais anayefata awe nani. Hivyo ni kitendo cha kusema turufu walizonazo wagombea iwe wa CCM au UPINZANI 2025 na 2030 ni JPM.
Sifirii kabisa Upinzani licha ya kutambua uwezo wa JPM katika kuamua matokeo katika chaguzi kuu zijazo wamedhamiria kumkebehi JPM bila kuwa na 'backup plan'.
Na hii ndio nafikiria ndio itakuwa 'backup plan' ya upinzani kwamba:
i) Kujifanya hawakumbali JPM
ii) Kuwaaminisha watanzania JPM si lolote si chochote.
iii) Kutumia majukwaa kumsema JPM ili CCM waamini.
iv) Baadae kumtumia JPM kama turufu muda ambao wengi hawataamini.
Kama huu ndio mpango wao basi hali itakuwa mbaya kwa CCM ikizingatiwa JPM anaonekana kwa wengi ni shujaa aliyefia vitani na upanga mkononi.