raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Hii maktaba naifurahiaga sana nikiingia kwenye site yaoSiku nikijipata lazima nikatembelee library of congress huko marekani. Mimi ni mnazi sana wa kusoma vitabuu
ELUKA nikizipata πΆπΆπΆTunga wimbo
Hivi Elluka yuko wapi? Mpka leo hajazipata?ELUKA nikizipata [emoji445][emoji445][emoji445]
Nimekumbuka tu hii nyimbo yake sijui hata alipo πHivi Elluka yuko wapi? Mpka leo hajazipata?
Kali sana..bonge la inspirationNimekumbuka tu hii nyimbo yake sijui hata alipo [emoji3]
Hivi kumbe alimpaisha hadi jeetu kwenye hii track πKali sana..bonge la inspiration
kama Appolo mwelekeo wangu[emoji445]
Mawingu sio kipingamizi kwangu
Anga la saba kikomo changu
Sioni sababu zisiwe kweli ndo zangu
Jeetu Patel muumba wake ndiye yule wangu [emoji445]
Yah alimpaisha ...jamaa alikuwa anawaza kuwakomesha wanga tu [emoji3]Hivi kumbe alimpaisha hadi jeetu kwenye hii track [emoji1]
Nikizipata mbona itakuwa nomaa
Nikizipata........... [emoji445][emoji445][emoji445][emoji445]
Kawataja sana kwenye songi lake sio πYah alimpaisha ...jamaa alikuwa anawaza kuwakomesha wanga tu [emoji3]
Mkuu biding price tuta weka priceless, ila until New owner diesππ€£Nikijipata nanunua jamii forum then nawaexpose woteπ
Jeetu si marehemu kwa Sasa ??Hivi kumbe alimpaisha hadi jeetu kwenye hii track π
Nikizipata mbona itakuwa nomaa
Nikizipata........... πΆπΆπΆπΆ
Kaka jeetu SI marehemu kwa sasaπ€π€Yah alimpaisha ...jamaa alikuwa anawaza kuwakomesha wanga tu [emoji3]
Huyu yupoJeetu si marehemu kwa Sasa ??
Nime kosea, Yule ni Patel wa motsun groupHuyu yupo
Yap shubashNime kosea, Yule ni Patel wa motsun group
Alikuwa billionaire yuleYap shubash
Leo umenibless na comment πππELUKA nikizipata πΆπΆπΆ