Skudu makudubela
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 561
- 1,112
Greetings
Nimekaa tu nikiwaza na lilikua wazo langu la muda mrefu tu,hivi mfano tukakutana vijana watatu mpaka watano tukaandika proposal kwenye balozi ya usa USA EMBASSY TZ na nchi nyingine za ulaya kwamba watupe funds tusambaze awareness kwa jamii Tanzania na africa kwamba LBGTQ ni binadamu kama sisi so tusiwatenge wala tusiwabague.hii idea imekaaje? NAKARIBISHA CRITICISM
Ni hayo tu ,maokoto tunaokota au hatuokoti?
Yaani huu ujinga ndio unawaza kwa sauti?Greetings
Nimekaa tu nikiwaza na lilikua wazo langu la muda mrefu tu,hivi mfano tukakutana vijana watatu mpaka watano tukaandika proposal kwenye balozi ya usa USA EMBASSY TZ na nchi nyingine za ulaya kwamba watupe funds tusambaze awareness kwa jamii Tanzania na africa kwamba LBGTQ ni binadamu kama sisi so tusiwatenge wala tusiwabague.hii idea imekaaje? NAKARIBISHA CRITICISM
Ni hayo tu ,maokoto tunaokota au hatuokoti?
Skudu .......wahuni wanakuvuna Masega sio Bure !Greetings
Nimekaa tu nikiwaza na lilikua wazo langu la muda mrefu tu,hivi mfano tukakutana vijana watatu mpaka watano tukaandika proposal kwenye balozi ya usa USA EMBASSY TZ na nchi nyingine za ulaya kwamba watupe funds tusambaze awareness kwa jamii Tanzania na africa kwamba LBGTQ ni binadamu kama sisi so tusiwatenge wala tusiwabague.hii idea imekaaje? NAKARIBISHA CRITICISM
Ni hayo tu ,maokoto tunaokota au hatuokoti?
Hoja haipigwi rungu ndugu yanguSkudu .......wahuni wanakuvuna Masega sio Bure !
Nakaribisha criticismYaani huu ujinga ndio unawaza kwa sauti?
Jibu kwa hoja mkuu
Nawaza tuSkudu unazungua
Issue ni kuielimisha tu jamii kwamba lbgtq n watu kama watu wengine so wasitengwe wala kubaguliwa""najaribu tu kuwaza lakiniMimi naona tubaki hivi hivi ili wasiongezeke.
Ukiangalia mataifa yaliyoendelea yanayotoa uhuru kwa mashoga, jamii zao zinapata matatizo, mtoto mdogo anaambiwa jinsia yake hajazaliwa nayo, bali ni jinsi anavyojiskia, mtu anaamua kubadilisha jinsia kisa 'amehisi hivyo'....
Bora tubaki hivi hivi
uko sahihi ila tukiwaacha italeta hasara kuliko faida....Issue ni kuielimisha tu jamii kwamba lbgtq n watu kama watu wengine so wasitengwe wala kubaguliwa""najaribu tu kuwaza lakini
Acha mawazo mshenzi hayoNawaza tu
KwaniniKumbe wew haupo Sawa[emoji134][emoji134][emoji134]