Skudu makudubela
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 561
- 1,112
Greetings
Nimekaa tu nikiwaza na lilikua wazo langu la muda mrefu tu,hivi mfano tukakutana vijana watatu mpaka watano tukaandika proposal kwenye balozi ya usa USA EMBASSY TZ na nchi nyingine za ulaya kwamba watupe funds tusambaze awareness kwa jamii Tanzania na africa kwamba LBGTQ ni binadamu kama sisi so tusiwatenge wala tusiwabague.hii idea imekaaje? NAKARIBISHA CRITICISM
Ni hayo tu ,maokoto tunaokota au hatuokoti?
Nimekaa tu nikiwaza na lilikua wazo langu la muda mrefu tu,hivi mfano tukakutana vijana watatu mpaka watano tukaandika proposal kwenye balozi ya usa USA EMBASSY TZ na nchi nyingine za ulaya kwamba watupe funds tusambaze awareness kwa jamii Tanzania na africa kwamba LBGTQ ni binadamu kama sisi so tusiwatenge wala tusiwabague.hii idea imekaaje? NAKARIBISHA CRITICISM
Ni hayo tu ,maokoto tunaokota au hatuokoti?