Ally maganga
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 1,433
- 913
Najiuliza sana na kutafakari,
Kwanini serikali ya Tanzania isitumie watu maarufu duniani(sio Tanzania)
kama wachezaji mpira mfano Cr7, messi&neymar au wanamuziki na waigizaji maarufu zaidi duniani,
kwaajiri ya kutangaza vivutio vyetu vya Utalii.
Zile 1.5t naamini zinatosha kabisa kufanya hili jambo na chenji zinabaki.
Nawaza tu!
Kwanini serikali ya Tanzania isitumie watu maarufu duniani(sio Tanzania)
kama wachezaji mpira mfano Cr7, messi&neymar au wanamuziki na waigizaji maarufu zaidi duniani,
kwaajiri ya kutangaza vivutio vyetu vya Utalii.
Zile 1.5t naamini zinatosha kabisa kufanya hili jambo na chenji zinabaki.
Nawaza tu!