Naweka 'koma' (,) JF Leo...

Naweka 'koma' (,) JF Leo...

I am so sorry in puttin you in a position where you always fail to pick

your fav... for you know how your sis can pick em' lol

woote macare kwa the whole family...

(enways usiseme saana, ppl will hear...)

Haha..haya bwana nimezipokea zote!
Kisses to my niece...nampenda sana na nitammiss vibaya!
 
Panapo uzima tutaonana ukirudi. Kila la kheri bwana mentori
Shukrani Maba..panapo majaliwa ya Mola tutaonana.
Endeleza kazi nzuri ya kulijenga taifa huko huko Nansio...na hapa JF.
 
iiiiiii! Mmmmmmmh!! Uwiiiiiiii!!
Woi yeto mangi nsari, iruva akee neve mae!
 
sasa Mentor kale kamchezo ketu ka Matani tutakaendeleza mi na nani?
Naomba unipe ruhusa niwe nataniana na Viv!
 
Kama ilivyo sentesi ndefu, haikosi kuwa na koma.
Nami leo naomba niweke koma kwa utumiaji wangu wa JF.
Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu,
ninasikitika kuwataarifu wote kuwa tangu leo (29th July 2011) jioni
Mimi MENTOR bin MENTOR...sitakuwa nanyi tena hapa Jamvini
kwa muda mrefu kiasi.
Inaniuma sana kwamba jambo hili ni lazima litokee,
ila ninaamini yote ni mema.

Ndugu, marafiki na jamaa tulifahamiana hapa jamvini,
napenda kuwashukuru sana kwa uwepo wenu maishani mwangu.

Nawashukuru kwa maoni, maonyo, mafundisho, vichekesho na maelezo yote mliyonipa kwa muda wote
niliokuwa nanyi hapa.
I consider it a great privilege and an honour to have known you..I don't take it for granted, not for a single while!

Kama wahenga walivyosema, "Vikombe kwenye sinia, havikosi kugongana", nami natambua kuwa pamoja na yote ya furaha
yaliyotokea hapa jukwaani kwa mchango wangu, lazima kuna wale niliowakwaza.
Ninaomba, tena kwa unyenyekevu wote, mnisamehe...
Sitajitetea kwa ubinadamu (though to err is human), ila najua kuna ambayo yangeweza kuepukika..
Mniwie radhi kwani pia, "to forgive is divine!"

Nitawamiss sana wandugu..na labda (just maybe...maana taarifa zisizothibitishwa za kiintelijensia zinasema hilo haliwezekani)
niendapo nitapata ka mwanya ka kuingia hapa..lazima nitawajulia hali.
Ila kama haitatokea hivyo..basi chukieni uzi huu kama kiashiria cha upendo wangu kwenu.

Ningependa kumtaja kila mmoja kwa jina na mchango wake katika maisha yangu..lakini najua sitamaliza na wala sitaweza.
Kwa niaba yenu nimtaje Vivian..my sweet darling..c u jioni!!!
Dada Asha..the big sis av never had.
Basi, kwa hivyo niseme tu..I WILL MISS YOU ALL!
NAWAPENDA SANA NA MUNGU AWABARIKI.


PS: Be the Change You Want to See Around You.

UPDATE YA POST #38

Back to topic:
Nilitaka niwataje wote, wa kike na kiume, ila nilijua wengine ningewasahau..
However, isingelikuwa haki kama ningeacha kumtaja kipenzi changu cha roho...sabuni ya moyo, waridi la roho yangu...VIVIAN.
Na dada Asha is the only big sis I have..nilipofika hapo nikakumbuka wengine woooote..
Kina Babu Aspirin na Mzee Mwanakijiji,
Dada zangu; Lizzy, Blaki Woman, Afrodenzi, Husninyo, Esperance, Bht, Zion Daughter, Gaga, Okada, First lady, Rose1980, Ma'swagga, Lady N, Sweet lady, Regia, et al..
mama; FF,
shemeji Kaizer,
wagonjwa; Malaria sugu, Amoeba, Minyoo, et al
watani NN, Senator, Zumbemkuu, my best friends Kbd, King'asti, MTM, First Born, Gugwe, Babkey et al..
washkaji zangu kina The Boss, The Finest, Maba, Voice of Reason, SMU, MTM, Acid, Sulpha, TF, FT, BJ, Elli, Eiyer, Hashy, Memo, Tanmo, Lole, wa Ndima et al..
Wapendwa; Kerren Hapuch, et al
Wadau wa kuandika; Kiranga (naendelea kukuombea uokoke), Rev. Kishoka, Ulimakafu, Susuviri, Jasusi, Ben, Sizinga et al
Wabishi; Saint Ivuga (hons), Rev Fr Masanilo (hons), Bujibuji, Maskini Jeuri, Fidel 80 et al
Watata; Tusker baridi, Steve Diii, Da womanizer, Maalim Jumar, Katavi, Chimunguru, Jeykey et al
Mswahili; X-paster
Sura mbaya; Rejao et al
Wadau wa michezo; Rutashubanyuma, Balantanda, et al
Moderators; Paw, Snail, Invisible, et al...
Formsix leavers; Vanpopeye, Apolinary, et al..(msinichakachulie dada yangu mkikutana huko vyuoni)
Wa kwetu; Mamndenyi, Mkirua, et al
Entrepreneurs; LAT, NxtMillionaire, et al
Halafu kuna kina nyie; enzi nikijiunga hapa mlikuwa so active and i used to admire ur posts sana...
aisee ni wengi..siwezi kumaliza...kwa ujumla wote...
Utakuwa incommunicado. werevu tumeshajuwa unakwenda kwenye kozi gani. lakini nina uhakika baada ya miezi 6 utarudi hapa.
 
nikiondoa avatar hii ujue ntaweka ya osama tena akiwa hana uhai. sema suuu!
kama issue ni kazi UN, mbona issue ndogo tu, chagua work station chap chap

Haha..change ur avatar!lol..no..don't, jus joking!

My dear..kama ukinipa kazi UN anything to do with social welfare..i will stay!
 
Be a worrior...
To every barrier...


Be receivier...
At wherever interior...

Go sud go Nod.
Go west go est..
Sky the limit...
Bless..
 
Kafie mbele umeingia mwenyewe sasa nani anataka kuagwa humu''chapa lapa hajaitwa mtu humu''umeingia mwenyewe we tembea tu''kwanza umeaga mabint tu ndio rafiki uliokuwa unachat nao sana''najua kichwa bnadamu kama wewe go to hell'
 
Kama ilivyo sentesi ndefu, haikosi kuwa na koma.
Nami leo naomba niweke koma kwa utumiaji wangu wa JF.
Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu,
ninasikitika kuwataarifu wote kuwa tangu leo (29th July 2011) jioni
Mimi MENTOR bin MENTOR...sitakuwa nanyi tena hapa Jamvini
kwa muda mrefu kiasi.
Inaniuma sana kwamba jambo hili ni lazima litokee,
ila ninaamini yote ni mema.

Ndugu, marafiki na jamaa tulifahamiana hapa jamvini,
napenda kuwashukuru sana kwa uwepo wenu maishani mwangu.

Nawashukuru kwa maoni, maonyo, mafundisho, vichekesho na maelezo yote mliyonipa kwa muda wote
niliokuwa nanyi hapa.
I consider it a great privilege and an honour to have known you..I don't take it for granted, not for a single while!

Kama wahenga walivyosema, "Vikombe kwenye sinia, havikosi kugongana", nami natambua kuwa pamoja na yote ya furaha
yaliyotokea hapa jukwaani kwa mchango wangu, lazima kuna wale niliowakwaza.
Ninaomba, tena kwa unyenyekevu wote, mnisamehe...
Sitajitetea kwa ubinadamu (though to err is human), ila najua kuna ambayo yangeweza kuepukika..
Mniwie radhi kwani pia, "to forgive is divine!"

Nitawamiss sana wandugu..na labda (just maybe...maana taarifa zisizothibitishwa za kiintelijensia zinasema hilo haliwezekani)
niendapo nitapata ka mwanya ka kuingia hapa..lazima nitawajulia hali.
Ila kama haitatokea hivyo..basi chukieni uzi huu kama kiashiria cha upendo wangu kwenu.

Ningependa kumtaja kila mmoja kwa jina na mchango wake katika maisha yangu..lakini najua sitamaliza na wala sitaweza.
Kwa niaba yenu nimtaje Vivian..my sweet darling..c u jioni!!!
Dada Asha..the big sis av never had.
Basi, kwa hivyo niseme tu..I WILL MISS YOU ALL!
NAWAPENDA SANA NA MUNGU AWABARIKI.


PS: Be the Change You Want to See Around You.

UPDATE YA POST #38

Back to topic:
Nilitaka niwataje wote, wa kike na kiume, ila nilijua wengine ningewasahau..
However, isingelikuwa haki kama ningeacha kumtaja kipenzi changu cha roho...sabuni ya moyo, waridi la roho yangu...VIVIAN.
Na dada Asha is the only big sis I have..nilipofika hapo nikakumbuka wengine woooote..
Kina Babu Aspirin na Mzee Mwanakijiji,
Dada zangu; Lizzy, Blaki Woman, Afrodenzi, Husninyo, Esperance, Bht, Zion Daughter, Gaga, Okada, First lady, Rose1980, Ma'swagga, Lady N, Sweet lady, Regia, et al..
mama; FF,
shemeji Kaizer,
wagonjwa; Malaria sugu, Amoeba, Minyoo, et al
watani NN, Senator, Zumbemkuu, my best friends Kbd, King'asti, MTM, First Born, Gugwe, Babkey et al..
washkaji zangu kina The Boss, The Finest, Maba, Voice of Reason, SMU, MTM, Acid, Sulpha, TF, FT, BJ, Elli, Eiyer, Hashy, Memo, Tanmo, Lole, wa Ndima et al..
Wapendwa; Kerren Hapuch, et al
Wadau wa kuandika; Kiranga (naendelea kukuombea uokoke), Rev. Kishoka, Ulimakafu, Susuviri, Jasusi, Ben, Sizinga et al
Wabishi; Saint Ivuga (hons), Rev Fr Masanilo (hons), Bujibuji, Maskini Jeuri, Fidel 80 et al
Watata; Tusker baridi, Steve Diii, Da womanizer, Maalim Jumar, Katavi, Chimunguru, Jeykey et al
Mswahili; X-paster
Sura mbaya; Rejao et al
Wadau wa michezo; Rutashubanyuma, Balantanda, et al
Moderators; Paw, Snail, Invisible, et al...
Formsix leavers; Vanpopeye, Apolinary, et al..(msinichakachulie dada yangu mkikutana huko vyuoni)
Wa kwetu; Mamndenyi, Mkirua, et al
Entrepreneurs; LAT, NxtMillionaire, et al
Halafu kuna kina nyie; enzi nikijiunga hapa mlikuwa so active and i used to admire ur posts sana...
aisee ni wengi..siwezi kumaliza...kwa ujumla wote...
kwa nn inatokea jaman, tutakukukmbuka sana
 
u missed being told missing u!, I m sure ur going no where! Jf kuondoka kwa amani sio rahisi, labda ufe au ufungwe jela! We upo tu!
 
yaelekea nimechelewa....

ntabaki hivi mpaka urudi.... Safari njema broo...

 
Ijapokuwa nimechelewa,
na pengine ndio matakwa yako yameshatimia,
bado ninaungana na Wana JF wengine
kukuombea na kukutakia safari njema.
Tutakukosa sana, lakini
Safari sio kifo - Tutaendelea kuwasiliana.
Safari njema!
 
Dah! Nimeshtuka hadi mtoto ametulia. My bro, ntakumiss sana. All the best.
 
Back
Top Bottom