nawewe unaamini matokeo ya kidato cha sita yamechakachuliwa?

nawewe unaamini matokeo ya kidato cha sita yamechakachuliwa?

Poole hio mlitumia shuleni kwenu a.k.a xul za vichochoroni uo mfumo haukuwahi kutumiwa kwa mwaka jana wala juzi ,,,,uliletwa lakini haukutumika baadhi ya school tu ndo wanaoutumia mfano mzumbe pale na same boys kuanzia mwaka huu ila sio nectawise sorry
UPANGAJI WA VIWANGO VYA ALAMA, MATUMIZI YA ALAMA ENDELEVU YA MWANAFUNZI NA UFAULU 1. UTANGULIZI Wizara imekusanya maoni ya Wadau wa Elimu kuhusu Upangaji wa Viwango vya Alama (Grade Ranges) katika Mitihani ya Kuhit imu Kidato cha Nne na cha Sita pamoja na Matumizi ya Alama za Tathmini Endelevu ya Mwanafunzi (Continuous Assessment ama CA ) kwa ajili ya kuamua kiwango cha ufaulu wa mwanafunzi. Maoni ya wadau yamekusanywa kwa sababu kwa muda mrefu sasa upangaji wa viwango vya alama vinavyotumika na utaratibu wake katika mitihani ya kuhitimu Kidato cha Nne na Kidato cha Sita umekuwa haufanani pamoja na kwamba mitihani hiyo yote ni ya elimu ya sekondari. Pia mfumo masuala mbalimbali ya mitihani katika elimu ya sekonda ri umekuwa na miundo tofauti ikiwemo ule unaotumika shuleni na ule wa Baraza la Mitihani la Taifa. Kwa sasa kuna miundo mikuu miwili katika mfumo huo. Muundo wa Kwanza ni upangaji wa viwango katika ngazi ya Shule ambapo Alama Mgando (Fixed Grade Ranges) zi fuatazo hutumika kupanga madaraja: A = 81–– 100; B = 6180; C = 4160; D = 2140 na F = 0 20. Muundo huu umetumika kwa muda mrefu na umezoeleka kwa walimu na wanafunzi wa elimu ya sekondari kwa ujumla. Muundo wa Pili ni wa viwango vinavyotumiwa na mwaka 2012 muundo wa viwango nyumbufu ( Baraza la Mitihani la Taifa ambapo ambapo kabla ya flexible grade ranges ) ulitumika. Katika muundo huu uwigo wa alama ulibadilika badilika kulingana na hali ya matokeo ilivyokuwa kwa mwaka husika. Lakini kuanzia mwaka 2012, Serikali iliamua kutumia mfumo wa Upangaji wa Alama Mgando (Fixed Grade Range) kwa Kidato cha Nne na Kidato cha Sita. Katika mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2012 Baraza lilitumia mfumo huu wa alama mgando ambapo: A = 80100, B = 6579, C = 50 upande wa Kidato cha Sita Baraza lilitumia mfumo wa A = 80–– 64, D = 35 100; B = 75-– 49, F = 0 79; C = 65–– 34. Kwa 74; D = 55 = 4554; S = 4044 na F = 0–– 64; E 39. Mifumo hii ya Baraza haikuwa inafahamika kwa wadau na hivyo kuwa
 
Japo huo uzi mrefu ila pitieni mnaojaribu kusema goli halijatanuliwa...

hasa VVM unaesema marks za shule za uchochoroni.....kwa mengi zaidi ingie web ya moe.go.tz au necta.go.tz then search ALAMA ZA UFAULU KIDATO CHA 4 NA 6
 
utafananishaje waliomaliza 2012 kurudi nyuma na nyinyi brn?
hivi unajua kwanini wizara ikachukua div4 ya pt 27&26 kwa wale wa 2012 kushuka chini na div3 pekee kwa nyinyi nguchiro wa brn ktk ualimu mwaka huu?chunguza alf uje nyooooooooo usishushe hadhi div1 yangu ya 2007 mie
 
Acha kutoa povu kama nguchiro, toa no# yako ya mtihani tu-update kwa grade za sasa NECTA uone kama hautaenda kuanza upya QT.

Sina haja ya kukupa kwa sababu nilishafaulu nipo chuo kikubwa kama unakuja udsm nipo college of natural and applied science(CoNaS) nipime nikupe namba yng ya cm
 
hamna kitu sisi watoto wa sasahv ni vilaza uchakachuaji mwingi ,serikali imefanya kukwepa aibu ya utumbo wa watoto waliochora mazombi form 4 na huwezi fananisha na enzi zile za mababa zetu over!!
 
utafananishaje waliomaliza 2012 kurudi nyuma na nyinyi brn?
hivi unajua kwanini wizara ikachukua div4 ya pt 27&26 kwa wale wa 2012 kushuka chini na div3 pekee kwa nyinyi nguchiro wa brn ktk ualimu mwaka huu?chunguza alf uje nyooooooooo usishushe hadhi div1 yangu ya 2007 mie

Mambo ya o level hayapo apa ni kwa advance tu, olevel goal limepanuliwa kweli ila sio advance kiasi iko wa2 wanavyofikiri
 
hamna kitu sisi watoto wa sasahv ni vilaza uchakachuaji mwingi ,serikali imefanya kukwepa aibu ya utumbo wa watoto waliochora mazombi form 4 na huwezi fananisha na enzi zile za mababa zetu over!!

Wewe mwenyewe tu! Ningefanya mtihani waform6 last year kwa comb yangu singekosa one pia......watu wamefanya a lot of efforts kupata walichokipata nyie mnaona ni mkono wa BRN mimi toka nimeanza advance div ndogo zaidi kupata ilikua ni 1 ya 7 kwenye haya matokeo ya necta juzi cjawahi kufeli hivyo ....sasa ukiniambia habari zakuchakuchua ndo kwaanza haileti mantiki anyway fikiri unavyofikiri si tunasonga mbele!
 
msilete propaganda kwenye uhalisia madogo wamebomoa kumbukeni 50-59 =B,hv hamuoni kama wameonewa fikiria mtu aliyepata C tatu za 57 mwaka 2012 huyu et ana dv one ya 9 ila mwaka huu mtu alopata hvyo ana div2 ya mwisho..je wangefuata utaratibu wa zamani sidhani kama 4&zero zingefika hiyo idadi
 
1st of all let me thank wote waliotusupport form 6 wa 2014 katka matokeo yetu...honestly nawashangaa wote wanaodai kuwa matokeo yetu yamechakachuliwa and making us to look like we never did anythng inorder to for to get what we got...but the truth is that hamna mwaka ambao form 6 Wake wamehustle kama huu...why am i saying so...kwasababu katika huu mwaka mmoja tumewez kubadilishwa grade mbili kwa mpgo ambapo no one was sure of which grade were going to be use until we were near to necta...tulianza kwa kutangaziwa grade za ndalichako ambazo A was starting from 81 ambpo people ili bidi tuanze kujipanga kwa kutumia those grade ambapo in most of the schools zilitumika hadi in our

they can speak a lot but change nothing,congrats f6 2014 tokeo linaonesha idadi ya walimu ishatosha by the time watu wanatakiwa wakapge course zingne vyuoni ili tupate wataalam wengi katika sekta mbalimbali achilia mbali ualimu
 
Sina haja ya kukupa kwa sababu nilishafaulu nipo chuo kikubwa kama unakuja udsm nipo college of natural and applied science(CoNaS) nipime nikupe namba yng ya cm

wewe acha wehu hakuna aliyekuuliza unasoma wapi, Nikikutajia shule niliosoma mimi toka inaanzishwa 2006 haijawahi kutoka top 20 kitaifa, mock watu tuliburuza div1 za kufa mtu kwa grade za zamani lakini hizi za BRN tumepiga div 2 japo si mbaya, sasa sijui hapo uchakachuaji umetoka wapi mnaosema nyie?
 
Dogo inaonekana umevurugwa kumbe hata kwa wale 4000 wenye div1 haumo umeishia div2 basi ingekuwa mwaka jana wewe ulikuwa na div3
 
Acha kutoa povu kama nguchiro, toa no# yako ya mtihani tu-update kwa grade za sasa NECTA uone kama hautaenda kuanza upya QT.

Haujiulizi kwanini TCU wana update matokeo ya mwaka huu kwa mfumo wa nyuma?
 
Dogo inaonekana umevurugwa kumbe hata kwa wale 4000 wenye div1 haumo umeishia div2 basi ingekuwa mwaka jana wewe ulikuwa na div3

Sina hakika kama we ni mwanafunzi wa UDSM sababu pale hakuna mapunguani kama wewe, kwa taarifa yako nipo very proudly with my division, sina hofu kabisa.
 
Dogo inaonekana huwez kujenga hoja mpaka unatumia maneno makali punguwan neno la kawaida kweli kwa sabab ss tumepta jkt tumetukanwa kila aina ya tusi so usijali hilo nalo ni tatizo lako
 
Haujiulizi kwanini TCU wana update matokeo ya mwaka huu kwa mfumo wa nyuma?

Na sisi ndio tunataka hyo sababu haiwezekani mtu upate B+ B+ C then wakupe div2, au upige B B B+ thenly wakupe div2, huku ukizingatia B-50-59, na B+-65-74, so hapo utaona kabisa hakuna aliyebebwa hapo, Pia justly remember Form6 wa 2014 ni Form4 wa 2011 ambao nadhani mlishuhudia wakifaulu kwa kiwango cha juu sana ukilinganisha na wale Form4 wa 2010 ambao ndio Form6 wa 2013. Kwahiyo hapo hakuna muujiza wowote it was just a matter of time.
 
Dogo inaonekana huwez kujenga hoja mpaka unatumia maneno makali punguwan neno la kawaida kweli kwa sabab ss tumepta jkt tumetukanwa kila aina ya tusi so usijali hilo nalo ni tatizo lako

Acha kushangaa kijana lugha kali sio ugomvi ila zinapamba mijadala hapa JF tofauti na fesubuku ulipozoea, karibu jukwaa la siasa kule utaelewa nakwambia nini.

Back to topic;
Unapojenga hoja lazima uwe na evidence na sio kuropoka utumbo wako hapa kama kasuku.
 
Back
Top Bottom