Naweza fanya biashara gani kwa mtaji wa 15m?

Naweza fanya biashara gani kwa mtaji wa 15m?

Njoo pm
Huu mradi unanishawishi kuwekeza. Ninapenda saba ufugaji wa kuku. Baba yangu mzazi nae anafuga kuku wa kienyeji na kizungu. Je ntapata wapi huduma zao hao kuku poa na kama una namba za simu nisaidie. Tupige kazi umasikin utuishe watanzania. Tusaidiane kuinua uchumi wetu
 
Back
Top Bottom