mishe bwoy
Senior Member
- Oct 26, 2014
- 116
- 34
Salam kwenu wakubwa!
Mimi kwa sasa nipo form six hapa Moshi Technical natarajia kumaliza mwezi wa tano mwishoni mwaka huu, But kuna hili suala la kwenda JKT kwa kweli sipo tayari coz nina mambo yangu nataka niyafanye kabla sijaenda chuo
Kuna uwezekano wa mimi kuahirisha nije kwenda hata nikishamaliza Chuo?
Na nisipoenda nini effect yake?
Mimi kwa sasa nipo form six hapa Moshi Technical natarajia kumaliza mwezi wa tano mwishoni mwaka huu, But kuna hili suala la kwenda JKT kwa kweli sipo tayari coz nina mambo yangu nataka niyafanye kabla sijaenda chuo
Kuna uwezekano wa mimi kuahirisha nije kwenda hata nikishamaliza Chuo?
Na nisipoenda nini effect yake?