josephwaara
JF-Expert Member
- Jun 18, 2016
- 304
- 639
Wakuu heshima kwenu, naomba msaada katika suala hili.
Nilipofikisha umri wa miaka 10 niliugua sana, katika kutafuta tiba mzazi wangu akakutana na ushauri wa mimi kutumia jina jingne (nimefupisha story).
Sasa ishu hilo jina nikaja kusajiliwa nalo shule na kutumika kwenye vyeti vyote vya shule na cheti cha kuzaliwa. Hivyo ninafahamika kwa majina mawili tofauti kulingana na maeneo, sasa nimekuwa na nimepata mtoto na katika kumsajili nimetumia jina langu la awali ambalo linafanya sasa huyu mtoto aonekane siyo wangu kwa kuwa jina la baba ni tofauti.
Ninaweza kufanya nini ili niweze kumpatia bima ya afya? Solution ninayowaza ni mimi kubadili jina lirudi awali. Je itakuwaje wakati vyeti vyangu vyote vya taaluma na cha kuzaliwa vinasoma jina tofauti na lile la kuzaliwa?
Naomba mwongozo mkuu hili suala linantesa mno.
Nilipofikisha umri wa miaka 10 niliugua sana, katika kutafuta tiba mzazi wangu akakutana na ushauri wa mimi kutumia jina jingne (nimefupisha story).
Sasa ishu hilo jina nikaja kusajiliwa nalo shule na kutumika kwenye vyeti vyote vya shule na cheti cha kuzaliwa. Hivyo ninafahamika kwa majina mawili tofauti kulingana na maeneo, sasa nimekuwa na nimepata mtoto na katika kumsajili nimetumia jina langu la awali ambalo linafanya sasa huyu mtoto aonekane siyo wangu kwa kuwa jina la baba ni tofauti.
Ninaweza kufanya nini ili niweze kumpatia bima ya afya? Solution ninayowaza ni mimi kubadili jina lirudi awali. Je itakuwaje wakati vyeti vyangu vyote vya taaluma na cha kuzaliwa vinasoma jina tofauti na lile la kuzaliwa?
Naomba mwongozo mkuu hili suala linantesa mno.