Naweza kuchaguliwa kozi ya tano niliyoomba?

dah pole xana yan bila ubixh unaenda cha tano!mfan mzur bro angu amechagua udsm,duce,udom,saut na ifm akaweka mwixho na tax managment kama kujaza vyumba tokeo linatoka anaenda ifm wkt hakufkria
ww kla k2 bro wang iv una mabro wangap
 
Heri uchaguliwe kozi mbovu lakini chuo kizuri kuliko kuchaguliwa kozi nzuri alafu chuo kibovu, Mfano sociology ya UDSM ni sawa na Civil Engeneering ya St.Joseph.
 
Heri uchaguliwe kozi mbovu lakini chuo kizuri kuliko kuchaguliwa kozi nzuri alafu chuo kibovu, Mfano sociology ya UDSM ni sawa na Civil Engeneering ya St.Joseph.

vijana mna mbwembwe.
 
niliomba vyuo vinne kozi nizipendazo na cha tano nikawe koz ambayo siitak kwa sababu sikupenda kuomba chuo cha binafsi je, naweza kukuta nachaguliwa koz ya tano na kuachwa hizo za mwanzo?

Nakumbuka mwaka wetu mi nilichaguliwa koz ya mwisho kabisa nikapelekwa pale UDOM
 
Heri uchaguliwe kozi mbovu lakini chuo kizuri kuliko kuchaguliwa kozi nzuri alafu chuo kibovu, Mfano sociology ya UDSM ni sawa na Civil Engeneering ya St.Joseph.

dogo unajitahidi kutaka kupata publicity humu.............by the way punguza dharau
 
sasa km PCM ulipata div2 mbovu unataka uende wapi???? afu ninachoshangaaa yani wale wenye ufaulu mbovu eti wanataka vyuo vizuri..

Naomba unitajie vyuo vizuri na vibaya mkuu......
 
kwanini isiwezekane? Cozi nne za juu utakua umequalify lakini competition ikakutupa naio chaguo la tano unakuta ndo imekuokoa usiende 2nd round...
 
 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…