kissa anyigulile
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 1,550
- 1,742
Nina Account yangu sijaitumia sasa huu mwaka wa nne. Tafadhali, nifanyeje ili nianze kuitumia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakikujibu nitagNina Account yangu sijaitumia sasa huu mwaka wa nne. Tafadhali, nifanyeje ili nianze kuitumia?
Hii yenyewe ndogo, inaweza fika 120kFungua mpya. Hiyo utakuta ina madeni mengi,yanaweza kufika hata Tsh 50,000.
Thanks!Nenda tawi lolote kuna form watakupatia ujaze kufufua account
Asante MkuuCRDB mwisho ni miaka mitatu tu. Hivyo kafungue account nyingine
Asante MkuuFungua mpya. Hiyo utakuta ina madeni mengi,yanaweza kufika hata Tsh 50,000.
Asante Mkuu, nashukuru.Nenda benki kuna fomu utaijaza na utalipia kiasi kidogo cha fedha kwaajili ya kuihuisha.
c useme tu ulikuwa kwenye kundi la waliotumbuliwa angalau sasa umepata kimemoNina Account yangu sijaitumia sasa huu mwaka wa nne. Tafadhali, nifanyeje ili nianze kuitumia?
Kimemo gani hicho?c useme tu ulikuwa kwenye kundi la waliotumbuliwa angalau sasa umepata kimemo
kwamba taarifa zako zipitiwe upya urudi kazini au upewe marupurupu yakoKimemo gani hicho?
He he heee! Umejuaje? Wazee wa Uhujumu Uchumi wanarudi ulingoni kwenye posti zilezile na Ofisi zilezile!kwamba taarifa zako zipitiwe upya urudi kazini au upewe marupurupu yako
ahahahaaa nilikwepo mzee sasa kwa taarifa me ndo nayeshughulikia hiyo ishu yakoHe he heee! Umejuaje? Wazee wa Uhujumu Uchumi wanarudi ulingoni kwenye posti zilezile na Ofisi zilezile!
Ole wenu mliosherehekea! Picha zote za Video tunazo. Kaeni mkao wa kuomba kustaafu kwa hiari! Kama hujafikisha 55 imekula kwako!
Hivi kuna ulazima uende kwenye lile tawi ulilofungulia account mwanzo?Nenda benki kuna fomu utaijaza na utalipia kiasi kidogo cha fedha kwaajili ya kuihuisha.
Nenda tawi ulupoifungulia na picha moja,utajaza form wataiactivate.Utaendelea kujutia makato yao vizuri tuNina Account yangu sijaitumia sasa huu mwaka wa nne. Tafadhali, nifanyeje ili nianze kuitumia?