Naweza kuendelea kutumia akaunti ya Benki ya CRDB niliyositisha matumizi yake kwa miaka minne?

Naweza kuendelea kutumia akaunti ya Benki ya CRDB niliyositisha matumizi yake kwa miaka minne?

Nina Account yangu sijaitumia sasa huu mwaka wa nne. Tafadhali, nifanyeje ili nianze kuitumia?

Mie nilikua sijaitumia miaka zaidi ya 10 last year nimerudi kuirudisha sbb nilikua na biashara so walotaka kunilipa ilikua lazima niwe na crdb ..
Bs nikaenda nikaambiwa nitaje jina langu account nikarudishiwa just like that[emoji23][emoji23][emoji23] mpaka sasa naitumia niliifungua 2000 jamani nimetizama ile picha nilowekwa pale mie mwenyewe nimejisahau[emoji23][emoji23]
 
Hivi kuna ulazima uende kwenye lile tawi ulilofungulia account mwanzo?
Yes itakurahisishia kupata kadi yako kwa urahisi zaidi ingawaje hata huko kwengine utaipata kadi yako.
 
Mie nilikua sijaitumia miaka zaidi ya 10 last year nimerudi kuirudisha sbb nilikua na biashara so walotaka kunilipa ilikua lazima niwe na crdb ..
Bs nikaenda nikaambiwa nitaje jina langu account nikarudishiwa just like that[emoji23][emoji23][emoji23] mpaka sasa naitumia niliifungua 2000 jamani nimetizama ile picha nilowekwa pale mie mwenyewe nimejisahau[emoji23][emoji23]
Waombe wakubadilishie!
 
Account yangu mara ya mwsho nmetumia 2018.
Mwaka huu nikaweka tena kisalio sijakatwa makato yoyote n ipo active mpaka sasa.

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Achana nayo nenda kafunguwe nyingine tu kuepuka gharama. Hawa jamaa wana makato balaa
 
Back
Top Bottom